Haya ni mapenzi au kulogwa?

hata kama unampenda SANAAAAAAAAA .... tafakari TABIA zake .............je
1. anastahili kuwa MUME wako ...............ufunge nae pingu za maisha????
2. anastahili kuwa BABA WATOTO wako??? awe kiongozi wa familia yako?
3. Ana hadhi ya wewe kumjulisha kwa marafiki/ndugu/jamaa -(kwa tabia yake) bila wewe kuona aibu??

kama majibu ni SIVYO.............basi TABIA ikufanye UFUTE HISIA ZA UPENDO KWAKE .... MUNGU ATAKUPA ANAYEKUFAA.... HE IS SOMEWHERE....
give it time ......mtukutana tu siku moja

sifa zote tatu hana, ingawa sifikirii kuolewa zaidi ya kutafuta mtoto na baba ambaye ni responsible... Na ndomaana na sisitiza nitakuwa nimelogwa kwa nini kwako yeye mivumilie yote hayo? Ingawa nakiri panapo majambozi yuko vzr.
 
Mapenzi kitu cha ajabu saana... hakina adabu wala hakijali kua ushakua
mtu mzima na ya paswa utulie.... Wee hapo hujarogwa dear... ni mapenzi,
na woote ambao wamejaliwa na maanani kujisikia hivo mie personally husema
wana bahati for it is a great feeling....

However mpaka ume notice kua kakushika masikio.... huwezi maliza nae mda
sasa for utambuzi ni first step, the second utashangaa siku hio from nowhere
umeamua kua s/he is not worth it! and you have to move on...

ni mwaka tangu nimeanza kuliona hilo lkn wapi, mpaka marafiki wakaribu wanasema ss so wakuingilia watakuwa wanabaki naaibu bure! Ni nn hiki?
 
Jamani mi nahisi nimelogwa kila ninapota kuachana na huyu jamaa najikutanimerudiana naye, mbali navituko anavyonifanyia ikiwemo kunicheat na nimeshamfumania na mwanamke ambaye ni X wake mara kadhaa na kwenye simu wakiwasiliana lkn sibanduki hadi police tumeshafikishana na kumlaza ndani siku 1,baada ya kuniomba radhi nikamsamehe mwezi baadaye tukarudiana je hiki ni nn? huwa nawaza sana na hisi akili yangu ataniudhi sana eitha kwa ulevi au maneno mm ndo naumia kwa kumuwaza yeye, sili, silali kila dakika anaclick kichwani. Naomba mnisaidie humu jamvini ni nn hiki?
Hajarogwa hata bali inaelekea jamaa kwenye mahaba na maufundi anakufikisha dunia ya tano. Hutakaa umuache hata siku moja!
 
utakuwa umelogwa ila nina dawa ya kutegua ili usimuwaze tena kwa mazuri..
 
sifa zote tatu hana, ingawa sifikirii kuolewa zaidi ya kutafuta mtoto na baba ambaye ni responsible... Na ndomaana na sisitiza nitakuwa nimelogwa kwa nini kwako yeye mivumilie yote hayo? Ingawa nakiri panapo majambozi yuko vzr.

aaah sentensi ya mwishon hapo inajieleza.
Kumbe unapewa shughuli ya ukwel ndo maana.
Bt ipo cku utamuacha tena utamchukia sana na kujuta kwa nn ulipoteza muda kuwa nae. Inatakiwa tu umpate anayeyajua mambo zaidi yake!

Mark my words.
 
Una maradhi ya utegemezi wa hisia mama tiba zipo,wala hujalogwa!
 
ni mwaka tangu nimeanza kuliona hilo lkn wapi, mpaka marafiki wakaribu wanasema ss so wakuingilia watakuwa wanabaki naaibu bure! Ni nn hiki?


It takes time... ilinichukua mwaka kuchukua hatua ya kuachana na ex baada
ya kungundua ananiburuta... ikanichukua almost two years moyo wangu
kukubali he is not worth it.... Namshukuru Mungu i survived...

Siwezi sema muache... haitasaidia, ila nakuhakikishia kua soon you will come to your senses...
 
siku akifa je? au akikuacha? wacha kuwa emotional dependant,,jiamini kuwa unaweza kuishi bila yeye,this world is a rough place....kuwa bold kuwa utaweza kuziface challenges za dunia bila yeye...
 
hujapata kuonja nje ukafikishwa cloud 9 na kumsahau huyo

au unaogopa kubaki bila kuwa na bwana kabisa

ila lazima anapata kitu toka kwako na ndio maana anakung'ang'ania au unampatia vitu mali kwa kutaka awe nawe na bado ana cheat which means he will continue na akipata mke ataondoka

kama unazani ni juju basi nenda kanisani ukasaliwe na mwabudu Mungu
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom