Kachanchabuseta
JF-Expert Member
- Mar 8, 2010
- 7,269
- 675
MMH kazi ipo
6 huyu 6, hata MAN U wanamjua. ni mnafiki sana.
Nakaribisha list ya mazuri ya SITTA
1.
2.
3.
4.
5.
My take:SITTA NA LOWASSA WOTE WATATUTEKETEZA INCASE WAKIPEWA NAFASI YA URAIS,
nimekuwa mzito kumwelewa sitta pls nisaidieni (nionesheni tofauti ya SITTA na mafisadi)
1.ni sitta aliyeizima dowans bungeni (leo tunatakiwa kuilipa)
2.ni sitta aliyejijengea ofisi ya spika kwao (kama vile atakuwa spika milele)
3.ni sitta asiyetaka kuhama kwenye nyumba ya spika hadi leo
4.ni sitta aliyeunga mkono posho (bilioni 900 kwa mwaka)
5.ni sitta anayedai elimu bure haiwezekani (yeye alisomeshwa bure)
6.Alianzisha chama ndani ya chama na kukizima pale alipoahidiwa kuteuliwa spika kwa next term kumbe danganya toto
Nakaribisha list ya mazuri ya SITTA
1.
2.
3.
4.
5.
My take:SITTA NA LOWASSA WOTE WATATUTEKETEZA INCASE WAKIPEWA NAFASI YA URAIS,
alikuwa na rungu (uspika) kwa nini hakulitumia wakati huo??si yeye aliyezima mjadala wa Dowans bungeni???leo nani atamwaminitatizo laki wewe mdada unawivu wakijinga na uvivu wakufikiria, hivi huoni Sitta jinsi anavyolitetea taifa sasa hivi? sahau the past, kama uliangalia ITV jana sa 3 usiku uliona jinsi anavyokataa waziwazi kulipwa kwa dowans na tena alifikia hata kuwaambia vijana kama wewe muingie barabarani kuandamana, sana unataka nini tena?
Nadhani hili jukwaa halikufai, nenda kule kwenye mahusiano na mapenzi panakuhusu sana tu.
Ni shabiki mkubwa wa Simba sports club
ulishamwona live tena akiwa anatembea?????
1.Sita alikuwa mwanamtandao na akaidiwa uwaziri mkuu aliponyimwa akamwekea kinyongo Lowassa1. Sitta alikuwa mwanamtandao, lakini akawageuka wenzake baada ya kugundua kuwa nia yao ya kuingia madarakani ni kufanya uporaji wa raslimali za Watanzania.
2. Akiwa Spika wa Bunge aliliendesha kwa standard and speed. Aliboresha kanuni za Bunge na kulifanya liwe la kiwango cha juu.
3. Aliunda tume na kusimamia mjadala uliosababisha kufukuzwa (sio kujiuzulu) kwa waziri mkuu.
4. Amekuwa akikemea ufisadi wazi wazi na hamuogopi mtu. Ni jasiri.
5. Anakerwa na umaskini wa Watanzania
6. Hana kashfa yoyote inayoweza kuthibitishwa zaidi ya majungu yanayoenezwa juu yake.
7. Alipinga uuzwaji wa nyumba za serikali, na yeye ni miongoni mwa vigogo ambao hawakununua nyumba hizo.
Need I say more?