Elections 2010 Haya ndiyo matokeo Halisi?: Kikwete: 44.56% Na Dr. Slaa 44.45%

Mkuu Mallaba, bado unajipanga kutuwekea au ndo unapima joto letu? Tujuze mkuu ndo hayo haswaaa tunangoja.
 
Jamani, haya mambo yameshaisha... TUANGALIE NAMNA YA KUJENGA TAIFA

TOO MUCH SASA
 
Unajua mie hizi data nilizinyaka hivi majuzi kuna jamaa hapa kazini kwetu alikuwa anasambaza na kutuambia zimenyofolewa kwenye ripoti ya waangalizi wa kimataifa. Nilipozichunguza vizuri nikaona kura zina decimal points nikazipotezea.

Inabidi tuwe makini na data tunazopewa hasa kama zina utata ulio wazi
 
Yangu macho! ila hizi ni mbwembwe tu hakuna wizi wowote wala nini reality is the truth. ninachokiona hapa nikuwa kuna katume ka uchaguzi humu kwenye jamvi linalo chakachua matokeo kwa intrest zao JK kashinda basi tena msituzingue na mipasho yenu humu sio JF MODERN TAARAB you @%&$*#*!!*:nono:
 
Yangu macho! ila hizi ni mbwembwe tu hakuna wizi wowote wala nini reality is the truth. ninachokiona hapa nikuwa kuna katume ka uchaguzi humu kwenye jamvi linalo chakachua matokeo kwa intrest zao JK kashinda basi tena msituzingue na mipasho yenu humu sio JF MODERN TAARAB you @%&$*#*!!*:nono:

Umevuka mipaka ndugu. Hii ndio JF, kama inakuudhi sana unaweza kuondoka kimya kimya kama ulivyojiandikisha.
 
Wana JF;

Nimepata taarifa kutoka chanzo cha kuaminika kuwa original results kutoka katika vituo vya kupiga kura ambazo Mgombe wa CHADEMA Dr. Slaa na vijana wake walikuwa wanahakiki zinaonyesha kuwa Mgombea wa CCM Kikwete alipata 44.56% wakati Mgombea wa CHADEMA alipata 44.45%.

Matokeo haya ni pamoja na mchakachuo uliofanywa wa baadhi kupiga kura zaidi ya moja na kuweka katika ballot boxes bila kushtukiwa.

Chanzo changu cha habari kimenijulisha kuwa na faili lote la original results. Kama atanitumia basi bila ya shaka na mimi nitawabadikieni hapa.

Naomba kutoa hoja.

UPDATE 1:

Je haya ndiyo Matokeo Halisi (Original) yale ya majumuisho ya vituoni na yale ya NEC ??

UPDATE 2:

Waungwana, nimeongea tena na chanzo changu ambacho ndicho kilichonipatia taarifa hii. Matokeo yaliyoambatanishwa nimejulishwa ni yale ya utafiti wa ndani ambao ulifanywa kabla ya uchaguzi. Actual results nimeambiwa zikitolewa sasa hivi inaweza kusababisha kutoelewana.

Tuvute subira mpaka hapo taarifa ya uhakika itakapotolewa kutoka kwa wahusika.

SM

Nimesoma data ulizotuambatanishia hapa kwa makini. Tunajua kura zilichakachuliwa, lakini wewe au hicho chanzo chako kisituone wajinga na kutaka kutuchakachua zaidi. Chanzo changu cha mashaka kwenye kile unachokiita kura halisi ni kura zenye decimals, jumla ya kura zilizopigwa ilikuwa 13,289,721.25 na kwenye matokeo ili kutengeneza jumla ya 100% ukatuletea 13,289,721.29; hakuna kura iliyoharibika hata moja. Don't let us think you are worse than NEC.
 
Ole wenu atakayethubutu kumwonyesha mkwere hayo matokeo ni summary dismissal hata ukiwa waziri mkuu- kwa nini umemharibia mkuu siku??
 
You are an eye opener although at the end of all each makes his own intelligent decision. Keep on
 
Back
Top Bottom