Kachanchabuseta
JF-Expert Member
- Mar 8, 2010
- 7,269
- 675
Hizi data sio:nono::nono::nono::nono::nono::nono: nasibiri za chadema usalama wa taifa hawawezi kunidanganya na hizi data:nono::nono::nono::yield::yield::yield::yield:
Mpaka hapo itakapothibitishwa vinginevyo, baado habari hii itabakia kama tetesi.
Mikoa ambayo Kikwete ameshinda ni:
DODOMA
KIGOMA
LINDI
MOROGORO
MTWARA
PWANI
RUKWA
RUVUMA
SINGIDA
TABORA
TANGA
Sio kwamba wangeenda raundi ya pili kwa kuwa hakuna aliyefikisha zaid ya nusu?Kwa hiyo wakuu kwa mujibu wa "matokeo halisi" aliyo post mkuu Superman ni kwamba bado JK alishinda siyo? Kama ni kweli basi kwanza inaonyesha kwamba kuishinda CCM ina wezekana lakini pia inaonyesha kwamba Slaa alishindwa. He came close but not close enough.
Sio kwamba wangeenda raundi ya pili kwa kuwa hakuna aliyefikisha zaid ya nusu?
Ahsante!Tanzania hamna sheria hiyo. Kwa katiba ya nchi yetu yoyote anaye pata asilimia nyingi ndiyo anashinda. Hatuna round offs.
Wamepika
Nimepost kwenye Excel na kuita Formula Column C inanipa kitu B*65%.
Tangu lini wapiga kura Halisi wote nchi nzima wakaobey Formula moja???
Haya ni mapishi kutoka HELL KITCHEN, wapishi ni NEC na UWT kwa maagizo maalumu ya Mafisadi wa CCM.
Wanajaribu kumwaga Uharo wao hapa ili wote tuugue gonjwa lao la Kihabithi.
Tatizo, wapishi wengi walo shiriki shule haipandi vizuri bila DESSA hawaendi kokote, na hii kitu haikuwa na DESSA.
K&%*%O Zenu na Mvi zenu wote mloshiriki upishi. Nendeni mkapike tena, hii ime abort.
Haya matokeo feki yalipostiwa kwanza na tzjamani usiku wa kuamkia J'mosi fuatilia hapa https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/85737-tathmini-ya-kina-uchaguzi-2010-kama-kweli.html nafikiri akaona thread yake haina market akampasia Superman kwa sababu zao labda kwa vile Superman amekuwa akipost mara kwa mara itapata wateja wengi sijui. Nilishawahi kusema awali kuwa huwa nina wasi wasi na watu wawili Superman na Pasco naweza kuhukumiwa kwa doubts zangu.
Hapa walichokifanya wamechukua wapiga kura wakazidisha na asilimia ambayo nahisi ndio wanaaasume kuwa walishinda ndio sababu za decimal places.
wana jf;
nimepata taarifa kutoka chanzo cha kuaminika kuwa original results kutoka katika vituo vya kupiga kura ambazo mgombe wa chadema dr. Slaa na vijana wake walikuwa wanahakiki zinaonyesha kuwa mgombea wa ccm kikwete alipata 44.56% wakati mgombea wa chadema alipata 44.45%.
Matokeo haya ni pamoja na mchakachuo uliofanywa wa baadhi kupiga kura zaidi ya moja na kuweka katika ballot boxes bila kushtukiwa.
Chanzo changu cha habari kimenijulisha kuwa na faili lote la original results. Kama atanitumia basi bila ya shaka na mimi nitawabadikieni hapa.
Naomba kutoa hoja.
update:
matokeo halisi (original) yale ya majumuisho ya vituoni na yale ya nec yameambatanishwa sasa.
Mpaka hapo itakapothibitishwa vinginevyo, baado habari hii itabakia kama tetesi.
wana jf;
nimepata taarifa kutoka chanzo cha kuaminika kuwa original results kutoka katika vituo vya kupiga kura ambazo mgombe wa chadema dr. Slaa na vijana wake walikuwa wanahakiki zinaonyesha kuwa mgombea wa ccm kikwete alipata 44.56% wakati mgombea wa chadema alipata 44.45%.
Matokeo haya ni pamoja na mchakachuo uliofanywa wa baadhi kupiga kura zaidi ya moja na kuweka katika ballot boxes bila kushtukiwa.
Chanzo changu cha habari kimenijulisha kuwa na faili lote la original results. Kama atanitumia basi bila ya shaka na mimi nitawabadikieni hapa.
Naomba kutoa hoja.
update:
matokeo halisi (original) yale ya majumuisho ya vituoni na yale ya nec yameambatanishwa sasa.
ndo maana ni masikini huna haja ya kuwahurumia bwana ni AKILI ZAO TUU!Nawahurumia wa mikoa hii wote!! Ni masikini sana!!:A S angry:
huuu ni upupu tuuu hakuna kitu hapo kunamapungufu mengi kweli hapo!!!wana jf;
nimepata taarifa kutoka chanzo cha kuaminika kuwa original results kutoka katika vituo vya kupiga kura ambazo mgombe wa chadema dr. Slaa na vijana wake walikuwa wanahakiki zinaonyesha kuwa mgombea wa ccm kikwete alipata 44.56% wakati mgombea wa chadema alipata 44.45%.
Matokeo haya ni pamoja na mchakachuo uliofanywa wa baadhi kupiga kura zaidi ya moja na kuweka katika ballot boxes bila kushtukiwa.
Chanzo changu cha habari kimenijulisha kuwa na faili lote la original results. Kama atanitumia basi bila ya shaka na mimi nitawabadikieni hapa.
Naomba kutoa hoja.
update:
matokeo halisi (original) yale ya majumuisho ya vituoni na yale ya nec yameambatanishwa sasa.
Ni kweli mkuu, hata mimi nilisimamia watu walio piga kura ni 157 kati ya 420 na nilijaribu kufatilia ninigundua hayo uliyo yasema hapo juu ni sehemu chache sana zilizo vuka nusu ya wapiga kura kupiga kurahii habari ina mapungufu mengi kama ifuatavyo kwanza haionyeshi kura za zanzibar ambapo lipumba na kikwete walipata kura nyingi na dr slaa kupta kura kidogo sana. Mimi binafisi nilisimamia upigaji kura sehemu fulani katika jiji la dar es slaam average turn out ilikuwa ni wapiga kura 150 katika ya watu 450 hadi 500 waliopangiwa kupiga kura katika kila kituo.
sasa hao wapiga kura milioni 13 hii taarifa imewatoa wapi. Nahisi mto a haoja kachukua makadirio na kuyaita kura halisi kwa sababu zake binafsi.