Elections 2010 Haya ndiyo matokeo Halisi?: Kikwete: 44.56% Na Dr. Slaa 44.45%

Lazima kuna mtu aende na maji ameachia faili zima likavuja Makame na Kiravu wanatupeleka pabaya, ngoja nilifanyie kazi.
 
Mimi nashindwa kuelewa kuna wapiga kura nusu au sehemu ...... angalia takwimu hizi nimekata kwenye lile faili au sijaelewa? naomba muongozo na ufafanuzi.

REGIONAL # OF VOTERS VOTERS TO VOTE KIKWETE LIPUMBA SLAA DAR ES SALAAM 1,786,290.00 1,161,088.50 464,435.40 104,497.97 580,544.25
 
Wana JF;

Nimepata taarifa kutoka chanzo cha kuaminika kuwa original results kutoka katika vituo vya kupiga kura ambazo Mgombe wa CHADEMA Dr. Slaa na vijana wake walikuwa wanahakiki zinaonyesha kuwa Mgombea wa CCM Kikwete alipata 44.56% wakati Mgombea wa CHADEMA alipata 44.45%.

Matokeo haya ni pamoja na mchakachuo uliofanywa wa baadhi kupiga kura zaidi ya moja na kuweka katika ballot boxes bila kushtukiwa.

Chanzo changu cha habari kimenijulisha kuwa na faili lote la original results. Kama atanitumia basi bila ya shaka na mimi nitawabadikieni hapa.

Naomba kutoa hoja.

UPDATE:

Matokeo Halisi (Original) yale ya majumuisho ya vituoni na yale ya NEC yameambatanishwa sasa.

Could someone open the files in office 2007 and save them in compatibility mode and upload them again?
 
Msikurupuke wakuu; waliopiga kura katika mkoa wa Iringa ni watu 390,089 tu; lakini huyo jamaa yeye anasema Slaa amepata 341,250.51, Kikwete 239,474.04, Lipumba 11,973.70 n.k; kwanza inapaswa ujiulize how come mgombea anapata jumla ya kura kura zilizo kwenye decimal places? 341,250.51??239,474.04??11,973.70?? hii inaonyesha hizo data zimezipikwa na mjinga mmoja akiwa nyumbani kwake.

Lakini ata tuki-assume kuwa kulikuwa na wapiga kura wenye kura zenye thamani ya "nusu", "robo" n.k; mkoa wa Iringa una jumla ya wapiga kura 784,740 na turn-out ilikuwa ni 50%, hawa wapiga kura 921,054 huyo jamaa aliwapata wapi?

"Akili za Kuambiwa, Changanya na Zako"
 
hapa tunaona why higher learning students were barred from voting? maana wangeamua nani mshindi with their 120,000 numbers btn the 44.56% of Kikwete and 44.45% of Dr Slaa. uchaguzi haukuwa wa haki in short!
 
Msikurupuke wakuu; waliopiga kura katika mkoa wa Iringa ni watu 390,089 tu; lakini huyo jamaa yeye anasema Slaa amepata 341,250.51, Kikwete 239,474.04, Lipumba 11,973.70 n.k; kwanza inapaswa ujiulize how come mgombea anapata jumla ya kura kura zilizo kwenye decimal places? 341,250.51??239,474.04??11,973.70?? hii inaonyesha hizo data zimezipikwa na mjinga mmoja akiwa nyumbani kwake.

Lakini ata tuki-assume kuwa kulikuwa na wapiga kura wenye kura zenye thamani ya "nusu", "robo" n.k; mkoa wa Iringa una jumla ya wapiga kura 784,740 na turn-out ilikuwa ni 50%, hawa wapiga kura 921,054 huyo jamaa aliwapata wapi?
Hapa walichokifanya wamechukua wapiga kura wakazidisha na asilimia ambayo nahisi ndio wanaaasume kuwa walishinda ndio sababu za decimal places.
 
Am curious to see approval ratings za JF kama reliable source of "classified" information after this election!
 
Hizi data zimekuwa posted na usalama wa taifa na ni za kijinga. Column C imeassume number of voters kutoka mikoa yote ni 65% of registered voters! Inawezekanaje kila mkoa turnout ni 65%? Kama umedownload hizi data click kwenye column C utaona kitu kama B_*65% (Hii ni formula ya kulazimisha data kwenye hii column ziwe turn out ya 65%, which is not true). Mimi nasubiri zitakazotolewa na CHADEMA. Hizi ni za usalama wa taifa ku-pre-empty data za CHADEMA
 
Kwenye wabunge je ,maana hiyo bado inamata tu lazima waenguliwe watu
 
Msikurupuke wakuu; waliopiga kura katika mkoa wa Iringa ni watu 390,089 tu; lakini huyo jamaa yeye anasema Slaa amepata 341,250.51, Kikwete 239,474.04, Lipumba 11,973.70 n.k; kwanza inapaswa ujiulize how come mgombea anapata jumla ya kura kura zilizo kwenye decimal places? 341,250.51??239,474.04??11,973.70?? hii inaonyesha hizo data zimezipikwa na mjinga mmoja akiwa nyumbani kwake.

Lakini ata tuki-assume kuwa kulikuwa na wapiga kura wenye kura zenye thamani ya "nusu", "robo" n.k; mkoa wa Iringa una jumla ya wapiga kura 784,740 na turn-out ilikuwa ni 50%, hawa wapiga kura 921,054 huyo jamaa aliwapata wapi?

"Akili za Kuambiwa, Changanya na Zako"

Kamanda Butola;

Jedwali linaonyesha Iringa waliopiga kura ni 598,685.10.

Limeangalia zaidi inaonyesha kuwa namba hii ni 65% ya registered voters ambao ni 921,054.00 kwa mkoa wa Iringa.

Sina uhakika walitumia kigezo gani kilitumika.
 
Mimi nashindwa kuelewa kuna wapiga kura nusu au sehemu ...... angalia takwimu hizi nimekata kwenye lile faili au sijaelewa? naomba muongozo na ufafanuzi.

REGIONAL # OF VOTERS VOTERS TO VOTE KIKWETE LIPUMBA SLAA DAR ES SALAAM 1,786,290.00 1,161,088.50 464,435.40 104,497.97 580,544.25
Katika mambo ya statistics hasa zenye population kubwa kama hii (millions) decimal places ni kitu cha kawaida hata benki unaweza kuta akaunti yako ina sh. 1,500,987. 41, hata kwenye kiwanda cha magari unaweza kukuta estimate yao kwa miaka mitano ni kutengeneza magari 40,000.35. Lakini cha muhimu zaidi ukiwauliza NEC au Kiravu atakuelekeza kwanini wamepata hivyo nafikiri wakati huu atakuwa mpole.
 
Wana JF;

Nimepata taarifa kutoka chanzo cha kuaminika kuwa original results kutoka katika vituo vya kupiga kura ambazo Mgombe wa CHADEMA Dr. Slaa na vijana wake walikuwa wanahakiki zinaonyesha kuwa Mgombea wa CCM Kikwete alipata 44.56% wakati Mgombea wa CHADEMA alipata 44.45%.

Matokeo haya ni pamoja na mchakachuo uliofanywa wa baadhi kupiga kura zaidi ya moja na kuweka katika ballot boxes bila kushtukiwa.

Chanzo changu cha habari kimenijulisha kuwa na faili lote la original results. Kama atanitumia basi bila ya shaka na mimi nitawabadikieni hapa.

Naomba kutoa hoja.

UPDATE:

Matokeo Halisi (Original) yale ya majumuisho ya vituoni na yale ya NEC yameambatanishwa sasa.


Nyie ndugu zangu wa CCM hata kudanganya hamjui. Hizi data wewe na marafiki zako mmecook!
 
Back
Top Bottom