Haya ndiyo mambo gani?

Indume Yene

Platinum Member
Mar 17, 2008
2,950
711
Nimekutana na picha moja mahali, sikuweza kupata jibu la haraka kwamba kulikuwa kuna nini hadi hiki kitu kikatokea. Vijana wengi nchini USA especially wale wanaopenda miondiko ya RAP wanapenda kufanya hicho kitendo hata kama hawahitaji kujikuna.
Kitendo chenyewe ni hicho hapo katika picha inayomwonyesha kijana wetu aliyeko nchini sasa lakini mwenye makazi yake nchini USA. Angalia na toa maoni.
5661d1250886552-haya-ndiyo-mambo-gani-kibeberu3.jpg


Sina hakika hapa alikuwa akighani muziki au la maana nimeona hata waimbaji wa Bongo Fleva nao wanaiga mambo kama haya ya kukamata kwenye nanihii bila hata kuhitaji kujikuna. Mmmh haya makubwa....
 
Tatizo ameshika ikulu wkt wa mahojiano na clouds TV.

Mkuu hua unaniacha hoi na vijikoment vyako....iiisshhh!!!!

Meanwhile, mbona jamaa anayehoji kampa jamaa mgongo?..mmmhhh!
Inabidi next time wanasimamia vigoda tu!:):):)
 
mshikaji kavuta suluari kwa juu hili mraba aliovaa uonekane chata, amuoni mdogo wake ndiyo kamaliza maneno kabisa, kachomeka juu ya raba hiyo suluari hili tuone, tujulisheni kama nazo ndiyo style nasi tuige.
 
Nimekutana na picha moja mahali, sikuweza kupata jibu la haraka kwamba kulikuwa kuna nini hadi hiki kitu kikatokea. Vijana wengi nchini USA especially wale wanaopenda miondiko ya RAP wanapenda kufanya hicho kitendo hata kama hawahitaji kujikuna.
Kitendo chenyewe ni hicho hapo katika picha inayomwonyesha kijana wetu aliyeko nchini sasa lakini mwenye makazi yake nchini USA. Angalia na toa maoni.
5661d1250886552-haya-ndiyo-mambo-gani-kibeberu3.jpg


Sina hakika hapa alikuwa akighani muziki au la maana nimeona hata waimbaji wa Bongo Fleva nao wanaiga mambo kama haya ya kukamata kwenye nanihii bila hata kuhitaji kujikuna. Mmmh haya makubwa....


kijana wetu????? aliyeko nchini sasa lakini mwenye makazi yake nchini USA:rolleyes:
 
Hii tabia ipo sana hapa town. Sio kwa celebrity tu, hata vijana wa mtaani hohehae nao pia wanatembea barabarani wakiwa wameshika "PESA" zao.

Mama alishaniuliza sana ni kwa nini watu wanafanya hivi, maana yeye huwa inamkera sana.

Anyway, things changes, new styles emerges every morning..... Ila binasfi inanikera na naona kama inatuaibisha wanaume kwa kiasi fulani....
 
Back
Top Bottom