Chikwakara
Senior Member
- Apr 4, 2012
- 100
- 20
Wakurya uwa hatutumiki kibwegebwege hivi, sijui mkurya wa wapi huyu? We endelea na chama cha wapemba tu shughuli yao utaijua baadae! By the way nakufaham sana tangu ukiwa chuo km waziri wa mikopo chini ya Magesa Mwita, ulikuwa mlopokaji sana na muasi mkubwa ktk mapambano. Hasa ulipokuwa ukilivaa lile pama lako ulikuwa unalopoka hovyo! KAFIE MBELE HUKO NA CHAMA MUOZO HILO. HATA HIVYO UKWELI NI KWAMBA HUNA MVUTO WA KISIASA BORA UKAFANYE KAZI KWENYE MIGAHAWA YA WAPEMBA. M4C NDO KIBOKO YA NYIE VIBARAKA, NA BADO