Rugemeleza
JF-Expert Member
- Oct 26, 2009
- 668
- 136
"Achana na Dr. Slaa haya ndiyo maisha bora na mkinichagua nitahakikisha kuwa mnajenga nyumba nyingi kama hizi zenye kubeba picha zangu ili mimi, mke wangu, na mwanangu Ridhiwani tuendelee kuwatawala milele yote"
Moja ya nyumba ambazo mgombea urais wa Tanzania kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk. Willibrod Slaa, amkeuwa kizizungumzia kuwa ndio kipimo kikuu cha umasikini wa mtanzania. Nyumba hii ambayo ipo katika kijiji cha Majalila jimbo la Mpanda Magharibi, wakionekana familia ikiwa nje ya nyuma hiyo, kama walivyokutwa
(Picha toka Mzee wa Matukio Daima kwa hisani ya Joseph Senga-Tanzania Daima)
Moja ya nyumba ambazo mgombea urais wa Tanzania kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk. Willibrod Slaa, amkeuwa kizizungumzia kuwa ndio kipimo kikuu cha umasikini wa mtanzania. Nyumba hii ambayo ipo katika kijiji cha Majalila jimbo la Mpanda Magharibi, wakionekana familia ikiwa nje ya nyuma hiyo, kama walivyokutwa
(Picha toka Mzee wa Matukio Daima kwa hisani ya Joseph Senga-Tanzania Daima)