Kite Munganga
Platinum Member
- Nov 19, 2006
- 1,773
- 952
Msiwe na haraka jamani bali naamini kabla ya mvua barabara itatengenezwa vizuri tu kwani mmaru mwingi tumepewa na Kichaka, na Sullivan atatupatia mwezi wa sita, Na mtafurahia wakati Mzee Mikasi atakapofanya ufunguzi rasmi kabla ya mwisho wa mwaka