Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,476
- 39,995
- Thread starter
- #21
Hivi hilo shimo lilivyokaa ni kama yale mahandaki yanayotokea baada ya vizibo kuchukuliwa kwa ajili ya metal market. Sasa inawezekana mtu aliyechukua mfuniko huo hana garii hivyo shimo la katikati ya barabara halimhusu?