Haya ndio matumizi sahihi ur wife, for the sake of ur marriage!!

reandle

JF-Expert Member
May 6, 2009
11,168
8,142

Haijalishi kwamba sijaoa, au sina experience ya ndoa; but am sure this is the best way to make your (for men) marriage stronger for ever and ever!!! This is even more important, kama unahisi mkeo ni aina ya wale wanawake wenye tabia ya “ usinibabaishe, hujaniokota barabarani!” Tutake tusitake, mwanamke anavyo-advance kwa namna yoyote ile kitakachofuata hapo ni kumu-undermine mume wake!!Najuwa si wanawake wote wenye silika hii, but wengi wao wapo hivi, hususani wale ambao hawajaelimika (hata kama ni PhD holders)! Now, here is how to deal with such types of women but who’re salaried workers:
1. Never encourage them to have money saving behoviour!!When women save, the saving is mostly for their own!! Akishapa mshiko wa kutosha, huyoo ataenda kujenga kwao. Na akijenga mji huo huo mnaoishi hapo ndo basi tena, “usinibabaishe kibao zitaibuka!”
2 . Akikukwambia mshahara wake anataka kununua silver chain, mui-encourage adunduize three more salaries ili anunue gold chain, and the next two salaries anunue golden rings!!!
3 . Akikuambia kwamba mshahara unaofuata anataka kununu pamba pale Zizzou Fasion, mwambie pamba za uhakika zinapatikana Woolworth! Tell her, hana haja ya kuhofu kuhusu family affairs, uta-settle tu!! Mruhusu afanye even three consecutive savings ili akapate pamba za kufa m2 pale Woolworth!!
4. Ukiona anapenda sana kuangalia tamthilia, na mnatumia ordinary antenas ambazo chengachenga ni kwa kawaida, basi jifanye unamuhurumia na wewe jifanye you don’t mind about watching TV!! Mwa-advice anunue dish, tena lile la futi nane ili afaidi vizuri tamthilia!!! Hata siku akipata mashetani yake ya kwamba ataondoka huku akijivuna kwamba ana asset zake hapo home, am sure, akikumbuka kwamba asset yenyewe ni dish la futi nane, linalohitaji winji kuliinua, hapohapo stimu zitamkatika!!
5. Never encourage her kununua fenicha za ndani kwenu!! Wanawake wapuuzi, pale wanapopandwa na mashetani yao, hufikiria kukomba fenicha zilizopo ili akuadhiri!!! Akijuwa hakutoa hata senti moja kwenye fenicha hizo, basi shetani lake litashuka tu, ambalo vinginevyo lingepanda kiasi cha kuitaji muaguzi!!
6. Akikuambia anatamani kununua gari, encourage her achukue loan na anunue gari with cc above 2500!!
7. Kama unajihis kwamba wewe ni mtu wa busara sana, basi mui-encourage a-take responsibility ya masuala ya nyumbani!! Tell her, mshahara wake ndio utumike kwa chakula hapo home and other daily domestic expenditures!!
8. When you find her frustrated, muulize kama ana kiasi kidogo benki, and if the answer is YES, encourage her to go for vacation, na mwambie utamlipia air ticket to ZNZ! Hata kama pesa zingine atazibania kwenye a/c wakati wa kurudi ndo lazima azi-draw ili afanye shopping on her way back!
9. Kwa kifupi, unatakiwa kumpiga changa la macho kuhusu matumizi ya pesa zake!!
10. At the end of story, atajikuta ana asset za kumwaga ambazo zote ni za kipuuzi mtupu!! Hapo heshima itadumu milele dumu!!
11. Wakati haya yanafanyika, have good financial management kwenye fedha zako!! Make rational use of your money!!Invest them, in possible and sustainable money making investiment
12. Mind, hii si kwa ajili ya kumkomoa mkeo, but for the sake of ur marriage! It sound very ridiculous, but try to ignore it and u’ll see!
13. Here then, is for married women! Ukiona mumeo anafanya hayo hapo juu, ni kwamba anataka usiwe na meno kwavile meno yenu mara nyingi mnayatumia vibaya!!
 
Kwa nini utengeneze mazingira ya yeye kushindwa kuondoka kama akitaka? Mwanaume anayefanya hivyo kwa mkewe nadhani hampendi na amejawa na inferiority complex tu! Ndoa hata ikidumu miaka 100 kama hakuna mapenzi ni karaha tu!
 

Haijalishi kwamba sijaoa, au sina experience ya ndoa; but am sure this is the best way to make your (for men) marriage stronger for ever and ever!!! This is even more important, kama unahisi mkeo ni aina ya wale wanawake wenye tabia ya “ usinibabaishe, hujaniokota barabarani!” Tutake tusitake, mwanamke anavyo-advance kwa namna yoyote ile kitakachofuata hapo ni kumu-undermine mume wake!!Najuwa si wanawake wote wenye silika hii, but wengi wao wapo hivi, hususani wale ambao hawajaelimika (hata kama ni PhD holders)! Now, here is how to deal with such types of women but who’re salaried workers:
1. Never encourage them to have money saving behoviour!!When women save, the saving is mostly for their own!! Akishapa mshiko wa kutosha, huyoo ataenda kujenga kwao. Na akijenga mji huo huo mnaoishi hapo ndo basi tena, “usinibabaishe kibao zitaibuka!”
2 . Akikukwambia mshahara wake anataka kununua silver chain, mui-encourage adunduize three more salaries ili anunue gold chain, and the next two salaries anunue golden rings!!!
3 . Akikuambia kwamba mshahara unaofuata anataka kununu pamba pale Zizzou Fasion, mwambie pamba za uhakika zinapatikana Woolworth! Tell her, hana haja ya kuhofu kuhusu family affairs, uta-settle tu!! Mruhusu afanye even three consecutive savings ili akapate pamba za kufa m2 pale Woolworth!!
4. Ukiona anapenda sana kuangalia tamthilia, na mnatumia ordinary antenas ambazo chengachenga ni kwa kawaida, basi jifanye unamuhurumia na wewe jifanye you don’t mind about watching TV!! Mwa-advice anunue dish, tena lile la futi nane ili afaidi vizuri tamthilia!!! Hata siku akipata mashetani yake ya kwamba ataondoka huku akijivuna kwamba ana asset zake hapo home, am sure, akikumbuka kwamba asset yenyewe ni dish la futi nane, linalohitaji winji kuliinua, hapohapo stimu zitamkatika!!
5. Never encourage her kununua fenicha za ndani kwenu!! Wanawake wapuuzi, pale wanapopandwa na mashetani yao, hufikiria kukomba fenicha zilizopo ili akuadhiri!!! Akijuwa hakutoa hata senti moja kwenye fenicha hizo, basi shetani lake litashuka tu, ambalo vinginevyo lingepanda kiasi cha kuitaji muaguzi!!
6. Akikuambia anatamani kununua gari, encourage her achukue loan na anunue gari with cc above 2500!!
7. Kama unajihis kwamba wewe ni mtu wa busara sana, basi mui-encourage a-take responsibility ya masuala ya nyumbani!! Tell her, mshahara wake ndio utumike kwa chakula hapo home and other daily domestic expenditures!!
8. When you find her frustrated, muulize kama ana kiasi kidogo benki, and if the answer is YES, encourage her to go for vacation, na mwambie utamlipia air ticket to ZNZ! Hata kama pesa zingine atazibania kwenye a/c wakati wa kurudi ndo lazima azi-draw ili afanye shopping on her way back!
9. Kwa kifupi, unatakiwa kumpiga changa la macho kuhusu matumizi ya pesa zake!!
10. At the end of story, atajikuta ana asset za kumwaga ambazo zote ni za kipuuzi mtupu!! Hapo heshima itadumu milele dumu!!
11. Wakati haya yanafanyika, have good financial management kwenye fedha zako!! Make rational use of your money!!Invest them, in possible and sustainable money making investiment
12. Mind, hii si kwa ajili ya kumkomoa mkeo, but for the sake of ur marriage! It sound very ridiculous, but try to ignore it and u’ll see!
13. Here then, is for married women! Ukiona mumeo anafanya hayo hapo juu, ni kwamba anataka usiwe na meno kwavile meno yenu mara nyingi mnayatumia vibaya!!
Good observation.
 
1.Ni wanawake wangapi wasiokuwa na uwezo wa kufikiri kiasi hicho?
2. Cha msingi ni kuwa na maelewano mazuri na kuendelea kuimarisha ndoa yenu kama hutaki aondoke.
3. Wapo walioondoka na kusamehe kila kitu kwenda kuanza moja na wakafanikiwa.
4. Uhuru wa mtu kama anautaka huwezi kuuzuia kwa minyororo ya material things.
 
Ndoa jamani siku zote inanichanganya sana ndo maana bado nipo nipo sana.
Mapenzi hayana formula kabisa sijui Ndoa inaformula ati WOS?
 
Haijalishi kwamba sijaoa, au sina experience ya ndoa; but am sure this is the best way to make your (for men) marriage stronger for ever and ever!!! This is even more important, kama unahisi mkeo ni aina ya wale wanawake wenye tabia ya " usinibabaishe, hujaniokota barabarani!" Tutake tusitake, mwanamke anavyo-advance kwa namna yoyote ile kitakachofuata hapo ni kumu-undermine mume wake!!Najuwa si wanawake wote wenye silika hii, but wengi wao wapo hivi, hususani wale ambao hawajaelimika (hata kama ni PhD holders)! Now, here is how to deal with such types of women but who're salaried workers

Thank you...kwa kuwa niko mbioni kuowa kabla ya Yo Yo 2012 nimejifunza kitu hapa....nakushukuru sana sana....nimejifunza kitu....wanawake sijui wakoje unaweza kuta yuko almost 40s lakini mkipishana kidogo utamsikia mimi nakwenda kwetu....huwa najiuliza wapi? nani hana kwao? Nani hana wazazi?

Akikuzidi shule na elimu ndo karaha zaidi atataka hata uwe unamlamba pua kama si nywele
 
Thank you...kwa kuwa niko mbioni kuowa kabla ya Yo Yo 2012 nimejifunza kitu hapa....nakushukuru sana sana....nimejifunza kitu....

Ingia kwenye ndoa with an open mind ndipo utafurahia maisha yako ya ndoa ndugu yangu.
Ukiwa na mawazo kama haya akilini na kufuata ushauri wa aina hii...utapotoka maana utaingia kwenye ndoa na bias tayari.Utakuwa always defensive au reactive.
 
1.Ni wanawake wangapi wasiokuwa na uwezo wa kufikiri kiasi hicho?
2. Cha msingi ni kuwa na maelewano mazuri na kuendelea kuimarisha ndoa yenu kama hutaki aondoke.
3. Wapo walioondoka na kusamehe kila kitu kwenda kuanza moja na wakafanikiwa.
4. Uhuru wa mtu kama anautaka huwezi kuuzuia kwa minyororo ya material things.
Ahsante Woman of substance........point zako zote safi. Just to add to this topic......wanawake wengi wa leo wenye huo uwezo kifedha anaowadiscuss mwana jf mwenzetu..hawatakuuliza eti nifanye a, b, c with the money she has....na akibaini mume si mpenda maendeleo anafanya projects zake kimyakimya hehehehe....siku ya siku unasikia ana nyumba, shamba na assets zake kibao ambazo hata hujui wewe unakaa unafikiri eti unamuundermine ili umcontrol........inakuwa imekula kwako hehehhe.......marriage is all about love, understanding na ushirikiano wa dhati...the rest is history
 
Ingia kwenye ndoa with an open mind ndipo utafurahia maisha yako ya ndoa ndugu yangu.
Ukiwa na mawazo kama haya akilini na kufuata ushauri wa aina hii...utapotoka maana utaingia kwenye ndoa na bias tayari.Utakuwa always defensive au reactive.

Naona wengi walio kwenye ndoa wanakaraha tu......kuna rafiki zangu fulani wako kwenye ndoa ....niliwapigia simu kutaka ongea na mume wake yule dada ....ajabu akanijibu Afande Tibagana hayupo....nilicheka sana, nilipokuja onana na mshikaji nikamwambia mzee umebadili jina? akasema naye achana na Ananilea Nkya akiwa anamaana mkewe....hii inaonyesha ndoa yao ikoje....kabla ya kuowana there was no such names calling....
 
Naona wengi walio kwenye ndoa wanakaraha tu......kuna rafiki zangu fulani wako kwenye ndoa ....niliwapigia simu kutaka ongea na mume wake yule dada ....ajabu akanijibu Afande Tibagana hayupo....nilicheka sana, nilipokuja onana na mshikaji nikamwambia mzee umebadili jina? akasema naye achana na Ananilea Nkya akiwa anamaana mkewe....hii inaonyesha ndoa yao ikoje....kabla ya kuowana there was no such names calling....

Ukiona namecalling tena zenye kuashiria mambo fulani ujue basi ndoa hiyo iko kwenye matatizo.
Name calling kwenye ndoa zipo sana -nizijuazo mimi ni kama hizi:
- Mr...mfano wewe ungeitwa M.
-Dingi, maza,
- Mr Cool kama wewe ni baba mpole au unaependwa nyumbani
-Mama Kali
Halafu yako yale majina japo si mabaya lakini yanaashiria mtu anavyotafsirika kwa mwenzie
- Tibaigana - hii nilikuwa najua ni wanawake wakali wenye kudhibiti waume zao - sikujua hata kwa wanaume pia linatumika
- Mbeijing - mwanamke mwenye kuonekana anajua haki zake

Yapo yale mabaya ambayo wala hutataka kuyajua
- Kichaa
- Mpumbavu
Wanandoa jamani peaneni majina mazuri kama
- Sweetie
- La Aziz
- Mahabuba n.k.
 
Ukiona namecalling tena zenye kuashiria mambo fulani ujue basi ndoa hiyo iko kwenye matatizo.
Name calling kwenye ndoa zipo sana -nizijuazo mimi ni kama hizi:
- Mr...mfano wewe ungeitwa M.
-Dingi, maza,
- Mr Cool kama wewe ni baba mpole au unaependwa nyumbani
-Mama Kali
Halafu yako yale majina japo si mabaya lakini yanaashiria mtu anavyotafsirika kwa mwenzie
- Tibaigana - hii nilikuwa najua ni wanawake wakali wenye kudhibiti waume zao - sikujua hata kwa wanaume pia linatumika
- Mbeijing - mwanamke mwenye kuonekana anajua haki zake

Yapo yale mabaya ambayo wala hutataka kuyajua
- Kichaa
- Mpumbavu
Wanandoa jamani peaneni majina mazuri kama
- Sweetie
- La Aziz
- Mahabuba n.k.
hehehehhe...the last part is good
 
Aghh! let them do what they want to do. The only way to deal with them is acting in SILENCE. OMG that is the best medicine.
 
Ingia kwenye ndoa with an open mind ndipo utafurahia maisha yako ya ndoa ndugu yangu.
Ukiwa na mawazo kama haya akilini na kufuata ushauri wa aina hii...utapotoka maana utaingia kwenye ndoa na bias tayari.Utakuwa always defensive au reactive.

thanks wos, maisha ya ndoa huwa hayana formula iliyoandikwa kitabuni, si usanii, unahitaji kuwa wewe zaidi! kila mtu anayo njia pekee ya jinsi ya kuendesha ndoa, simpingi NasNaz bali napenda kuamini huo ni mtazamo wake ambao pia unaweza kuwa sahihi kwake lakini kwa mwingine akijaribu kuyafuatia akapotea! matendo yetu huwa yanaambatana sana na mawazo ,ukiishajijengea kuwa kinamama waliokuzidi (kielimu,uchumi) ni wa aina hiyo tayari utakuwa unajenga kitu kingine ndani kwa ndani ili kuweza kukabiliana nao, wakati mwingine wao wanaweza wasiwe na mawazo hayo ila wewe mwenyewe ukawapeleka huko, ukija shtuka inakuwa too late kwani kina dada nao ni wagumu wa mabadiliko ila wakibadilika ngumu kurudi.
 
Back
Top Bottom