Wickama
JF-Expert Member
- Mar 8, 2009
- 1,466
- 1,194
Wickama,
Salaam ndugu yangu.
Haina neno,kama siku zoote nisemavyo yakuwa sisi soote ni wamoja.
Ndo maana pia ni uzuri kuambiana kweli pale inapojiri.
Vipi Mfalme Obama kishaingia hapo,je atafika Mtae!?ahahaa!
Siku njema.
Ahsanta.
Ustadh huku labda aje na zile APACHE helikopers, kwa yeye atavaa T-shirt kwa hali ya hewa lakini kwa wenzangu wa Bongo watavaa Maka-buti hahahahah
karibu bwana