Kurzweil
JF-Expert Member
- May 25, 2011
- 6,622
- 8,397
Sunday, July 22, 2012
Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Dr Jakaya Mrisho Kikwete azindua rasmi mradi wa majisafi na usafi wa mazingira eneo la Swaya Jijini Mbeya leo
Rais Dr. Jakaya Kikwete akiwa anawasili eneo la Sweya mchana huu kwa ajili ya uzinduzi wa Mradi wa maji safi
Mamia ya watu waliofika Kuhudhuria na kushuhudia uzinduzi huo
Hili ndilo eneo ambapo Mh. Rais Jakaya Kikwete alifika na kuzindua Rasmi
Mh. Dr Rais Kikwete akisalimiana na Baadhi ya watu wanao husika na Mradi eneo hilo
Mh. Dr Jakaya kikwete akizungumza jambo wakati wa uzinduzi huo
Wageni waalikwa wakiwa wanashuhudia Tukio hilo
Mh. Rais akiwa anaonesha kitu
Eneo la mradi wa maji safi linavyo onekana kwa ukaribu zaidi
<tbody>
</tbody>
<ins style="display:inline-table;border:none;height:250px;margin:0;padding:0;position:relative;visibility:visible;width:250px"><ins id="aswift_0_anchor" style="display:block;border:none;height:250px;margin:0;padding:0;position:relative;visibility:visible;width:250px"></ins></ins>
News Alert: Rais Dr Jakaya kikwete awasili salama katika uwanja wa Kimataifa wa Songwe Mbeya mchana Huu
Muda Mchache baada ya Ndege ya Rais Kuwasili katika uwanja wa kimatiafa wa Songwe Mbeya
Umati wa watu ukimngojea Mh. Rais Jakaya Kikwete
Rais Dr. Jakaya Kikwete akiwa anashuka kwenye ndege
Rais Dr. Jakaya Kikwete akisalimiana na madiwani
Rais Dr Jakaya Kikwete akiwa anapita kati kati ya watoto skaut
Rais Dr. Jakaya Kikwete akiendelea kusalimiana na waheshimiwa Madiwani
Rais Dr Jakaya Kikwete akisalimiana na wananchi Songwe Mbeya
Rais Dr. Jakaya Kikwete akivishwa Skafu
Hivi ndivyo uwanja wa Kimataifa wa Songwe unavyo onekana kwa sasa
<tbody>
</tbody>
Saturday, July 21, 2012
Kyela Polytechnic College yazinduliwa rasmi leo na Balozi wa Uingereza nchini, Bi Diane Corner
Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Dr Jakaya Mrisho Kikwete azindua rasmi mradi wa majisafi na usafi wa mazingira eneo la Swaya Jijini Mbeya leo
Rais Dr. Jakaya Kikwete akiwa anawasili eneo la Sweya mchana huu kwa ajili ya uzinduzi wa Mradi wa maji safi
Mamia ya watu waliofika Kuhudhuria na kushuhudia uzinduzi huo
Hili ndilo eneo ambapo Mh. Rais Jakaya Kikwete alifika na kuzindua Rasmi
Mh. Dr Rais Kikwete akisalimiana na Baadhi ya watu wanao husika na Mradi eneo hilo
Mh. Dr Jakaya kikwete akizungumza jambo wakati wa uzinduzi huo
Wageni waalikwa wakiwa wanashuhudia Tukio hilo
Mh. Rais akiwa anaonesha kitu
Eneo la mradi wa maji safi linavyo onekana kwa ukaribu zaidi
<tbody>
</tbody>
<ins style="display:inline-table;border:none;height:250px;margin:0;padding:0;position:relative;visibility:visible;width:250px"><ins id="aswift_0_anchor" style="display:block;border:none;height:250px;margin:0;padding:0;position:relative;visibility:visible;width:250px"></ins></ins>
News Alert: Rais Dr Jakaya kikwete awasili salama katika uwanja wa Kimataifa wa Songwe Mbeya mchana Huu
Muda Mchache baada ya Ndege ya Rais Kuwasili katika uwanja wa kimatiafa wa Songwe Mbeya
Umati wa watu ukimngojea Mh. Rais Jakaya Kikwete
Rais Dr. Jakaya Kikwete akiwa anashuka kwenye ndege
Rais Dr. Jakaya Kikwete akisalimiana na madiwani
Rais Dr Jakaya Kikwete akiwa anapita kati kati ya watoto skaut
Rais Dr. Jakaya Kikwete akiendelea kusalimiana na waheshimiwa Madiwani
Rais Dr Jakaya Kikwete akisalimiana na wananchi Songwe Mbeya
Rais Dr. Jakaya Kikwete akivishwa Skafu
Hivi ndivyo uwanja wa Kimataifa wa Songwe unavyo onekana kwa sasa
Reactions: |
<tbody>
</tbody>
Saturday, July 21, 2012
Kyela Polytechnic College yazinduliwa rasmi leo na Balozi wa Uingereza nchini, Bi Diane Corner