Haya ndio JK aliyokuja kuyafanya hapa Mbeya

Kurzweil

JF-Expert Member
May 25, 2011
6,622
8,397
Sunday, July 22, 2012

Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Dr Jakaya Mrisho Kikwete azindua rasmi mradi wa majisafi na usafi wa mazingira eneo la Swaya Jijini Mbeya leo





Rais Dr. Jakaya Kikwete akiwa anawasili eneo la Sweya mchana huu kwa ajili ya uzinduzi wa Mradi wa maji safi

Mamia ya watu waliofika Kuhudhuria na kushuhudia uzinduzi huo

Hili ndilo eneo ambapo Mh. Rais Jakaya Kikwete alifika na kuzindua Rasmi

Mh. Dr Rais Kikwete akisalimiana na Baadhi ya watu wanao husika na Mradi eneo hilo

Mh. Dr Jakaya kikwete akizungumza jambo wakati wa uzinduzi huo




Wageni waalikwa wakiwa wanashuhudia Tukio hilo

Mh. Rais akiwa anaonesha kitu

Eneo la mradi wa maji safi linavyo onekana kwa ukaribu zaidi





<tbody>
</tbody>




<ins style="display:inline-table;border:none;height:250px;margin:0;padding:0;position:relative;visibility:visible;width:250px"><ins id="aswift_0_anchor" style="display:block;border:none;height:250px;margin:0;padding:0;position:relative;visibility:visible;width:250px"></ins></ins>
News Alert: Rais Dr Jakaya kikwete awasili salama katika uwanja wa Kimataifa wa Songwe Mbeya mchana Huu



Muda Mchache baada ya Ndege ya Rais Kuwasili katika uwanja wa kimatiafa wa Songwe Mbeya

Umati wa watu ukimngojea Mh. Rais Jakaya Kikwete

Rais Dr. Jakaya Kikwete akiwa anashuka kwenye ndege

Rais Dr. Jakaya Kikwete akisalimiana na madiwani

Rais Dr Jakaya Kikwete akiwa anapita kati kati ya watoto skaut

Rais Dr. Jakaya Kikwete akiendelea kusalimiana na waheshimiwa Madiwani




Rais Dr Jakaya Kikwete akisalimiana na wananchi Songwe Mbeya

Rais Dr. Jakaya Kikwete akivishwa Skafu



Hivi ndivyo uwanja wa Kimataifa wa Songwe unavyo onekana kwa sasa




Reactions:

<tbody>
</tbody>






Saturday, July 21, 2012

Kyela Polytechnic College yazinduliwa rasmi leo na Balozi wa Uingereza nchini, Bi Diane Corner



 
huyu baba jamani sijui hata kama anajieewa kwa kweli!!!! kheeee
 
Sunday, July 22, 2012

Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Dr Jakaya Mrisho Kikwete azindua rasmi mradi wa majisafi na usafi wa mazingira eneo la Swaya Jijini Mbeya leo





Rais Dr. Jakaya Kikwete akiwa anawasili eneo la Sweya mchana huu kwa ajili ya uzinduzi wa Mradi wa maji safi

Mamia ya watu waliofika Kuhudhuria na kushuhudia uzinduzi huo

Hili ndilo eneo ambapo Mh. Rais Jakaya Kikwete alifika na kuzindua Rasmi

Mh. Dr Rais Kikwete akisalimiana na Baadhi ya watu wanao husika na Mradi eneo hilo

Mh. Dr Jakaya kikwete akizungumza jambo wakati wa uzinduzi huo




Wageni waalikwa wakiwa wanashuhudia Tukio hilo

Mh. Rais akiwa anaonesha kitu

Eneo la mradi wa maji safi linavyo onekana kwa ukaribu zaidi





<tbody>
</tbody>




<ins style="display:inline-table;border:none;height:250px;margin:0;padding:0;position:relative;visibility:visible;width:250px"><ins id="aswift_0_anchor" style="display:block;border:none;height:250px;margin:0;padding:0;position:relative;visibility:visible;width:250px"></ins></ins>
News Alert: Rais Dr Jakaya kikwete awasili salama katika uwanja wa Kimataifa wa Songwe Mbeya mchana Huu



Muda Mchache baada ya Ndege ya Rais Kuwasili katika uwanja wa kimatiafa wa Songwe Mbeya

Umati wa watu ukimngojea Mh. Rais Jakaya Kikwete

Rais Dr. Jakaya Kikwete akiwa anashuka kwenye ndege

Rais Dr. Jakaya Kikwete akisalimiana na madiwani

Rais Dr Jakaya Kikwete akiwa anapita kati kati ya watoto skaut

Rais Dr. Jakaya Kikwete akiendelea kusalimiana na waheshimiwa Madiwani




Rais Dr Jakaya Kikwete akisalimiana na wananchi Songwe Mbeya

Rais Dr. Jakaya Kikwete akivishwa Skafu



Hivi ndivyo uwanja wa Kimataifa wa Songwe unavyo onekana kwa sasa




Reactions:

<tbody>
</tbody>






Saturday, July 21, 2012

Kyela Polytechnic College yazinduliwa rasmi leo na Balozi wa Uingereza nchini, Bi Diane Corner



Pilau ilikuwa hakuna?maana naona nguo za kijani za magamba aka wazee wa pilau na mchele!
 
ni jambo jema kama anafanya mambo ya maendelo na kuacha porojo porojo...kwa hili lazima nimpongeze
 
kwahiyo huu ndio uwanja mkubwa wa kimataifa wa SADC? mbona hata majengo hayana mvuto?..tuelewesheni jamani....
 
Mbona mradi km huo hata mkuu wa wilaya angezundua tu na yeye angekaa ofisini kucheck wale mafisadi wa papa km wameshughulikiwa au angekuwa kwenye mkutano anajadili namna ya kusitisha mgomo wa madaktari...
Halafu rangi za kijani za nini km sio ushamba!
 
Hivi kila mradi lazima JK akazindue jamani? kule kijijini kwetu tulisubiria uzinduzi wa mradi wa umeme kwa miezi zaidi ya 6 kisa tu ratiba ya mkuu imetight
 
Kwani hiyo safari ni ya kichama ama kiserikali?naona rangi za kijani zimezidi ufafanuzi tafadhali kwa anayeelewa
 
Huu mradi hakuna waziri mstahiki.....where is delegation of authority?
 
Mbona mradi km huo hata mkuu wa wilaya angezundua tu na yeye angekaa ofisini kucheck wale mafisadi wa papa km wameshughulikiwa au angekuwa kwenye mkutano anajadili namna ya kusitisha mgomo wa madaktari...
Halafu rangi za kijani za nini km sio ushamba!
watu wenye akili fupi hujivunia upumbavu kwake hilo ni kubwa sana japo ni kitu cha kijinga kulinganisha na 50years.
 
jamani sasa fitina tuzihamishie kwa vijana watakao kuwa na umri wa miaka 18 au zaidi, kuwahamasisha kushiriki kwenye daftari la kudumu la kupiga kura ule wakati utakapo wadia ili tushinde bila longo longo
 
Back
Top Bottom