Salamu si utwana kwa muungwana!nawasalimu nduguzangu.....basi ni hivi kuna maswali naomba niulize!
Wewe unarafiki wa kike/wakiume!ambae ni jinsia tofauti? Je hamjawai kutamaniana kimapendi kabla ya urafiki na hata baada ya urafi
Jaribu kutuambia muda mliokaa kama marafiki na sababu zilizo kufanya uwe na uakifi na huyo rafiki yako.......
Hususani mazingira ya nyumbani sio kazini wala kwa maswala ya kibiashara........
Kwanini marafiki wewe na huyo rafiki yako!
Wewe unarafiki wa kike/wakiume!ambae ni jinsia tofauti? Je hamjawai kutamaniana kimapendi kabla ya urafiki na hata baada ya urafi
Jaribu kutuambia muda mliokaa kama marafiki na sababu zilizo kufanya uwe na uakifi na huyo rafiki yako.......
Hususani mazingira ya nyumbani sio kazini wala kwa maswala ya kibiashara........
Kwanini marafiki wewe na huyo rafiki yako!