mkulimamwema
Senior Member
- Apr 14, 2011
- 153
- 18
Tangu Mkama aseme CCM hawakutoa azimio la siku 90 na kwamba hakuna fisadi hata mmoja atakayepewa barua sijasikia tena Nape akiongea.
Lakini namwona huyu Mzee Mkama naye mnafiki mbona alikuwa anazunguka na Nape kujitambulisha alikuwa wapi siku zote kukanusha kauli hizo za kijana wao.
Hii ina maana wamekaa na kuona vita wanayoianzisha hawatashinda sasa wanajirudi lakini CCM kuondoa rushwa kwenye chama na serikali ni sawa na "MTU KUSUKUMA BASI ILIHALI YEYE NAYE AMEPANDA BASI HILO" wanaoweza kuondoa rushwa kwa sasa ni wale walio nje ya ccm na serikali yake ya waporaji wa raslimali za nchi.
Wito kwa vijana walio ccm ni kukihama chama hiki kisicho na msimamo hivi Nape jamii ya watanzania itamwonaje na maadui wangapi amejitengenezea mimi namshauri atoke huko kulinda heshima yake pia vijana wote Tanzania tuungane kuondoa uozo huu ili tuendae na tunia ya sasa ambayo ianajali vijana kwa kuwapa ajira.
CCM inasema vijana wamepata ajira na wamejiajiri lakini ajira zenyewe ni kuokota chupa za maji, vyuma chakavu ambapo wengine huokota mabomu na kuuza pipi.
Hivi kweli nguvu kazi kama vijana inaachwa ovyo na kuokota makopo bora sasa mkoloni kuliko serikali ya ccm kwa sababu mkoloni aliwapeleka kulima mashamba kwa ujira mdogo kuliko kuokota makopo ni udhalilishaji mwanaume mwenye familia kuokota makopo.
Lakini namwona huyu Mzee Mkama naye mnafiki mbona alikuwa anazunguka na Nape kujitambulisha alikuwa wapi siku zote kukanusha kauli hizo za kijana wao.
Hii ina maana wamekaa na kuona vita wanayoianzisha hawatashinda sasa wanajirudi lakini CCM kuondoa rushwa kwenye chama na serikali ni sawa na "MTU KUSUKUMA BASI ILIHALI YEYE NAYE AMEPANDA BASI HILO" wanaoweza kuondoa rushwa kwa sasa ni wale walio nje ya ccm na serikali yake ya waporaji wa raslimali za nchi.
Wito kwa vijana walio ccm ni kukihama chama hiki kisicho na msimamo hivi Nape jamii ya watanzania itamwonaje na maadui wangapi amejitengenezea mimi namshauri atoke huko kulinda heshima yake pia vijana wote Tanzania tuungane kuondoa uozo huu ili tuendae na tunia ya sasa ambayo ianajali vijana kwa kuwapa ajira.
CCM inasema vijana wamepata ajira na wamejiajiri lakini ajira zenyewe ni kuokota chupa za maji, vyuma chakavu ambapo wengine huokota mabomu na kuuza pipi.
Hivi kweli nguvu kazi kama vijana inaachwa ovyo na kuokota makopo bora sasa mkoloni kuliko serikali ya ccm kwa sababu mkoloni aliwapeleka kulima mashamba kwa ujira mdogo kuliko kuokota makopo ni udhalilishaji mwanaume mwenye familia kuokota makopo.