Haya my valentine nimevunja kibubu

Salahan

JF-Expert Member
Sep 10, 2014
2,941
3,599
12744017_479312205594648_4732985136522817001_n.jpg


Unashangaa nini ndio nishaamua mwenzenu nimejichanga na pesa za kudunduliza kwa mwaka mzima sasa ndio nimeamua kufungua hazina hii.

Sasa sijui nile bata na my valentine au ndio niongeze mtaji. Ila biashara yangu haihitaji pesa nyingi coz mimi ni muuza shanga na mpamba kucha.

ENYWAY acha wanitambue valentine hii samakisamaki moroe by muuza shanga.
 
bols uongeze mtaji tu kwa haya majipu yanavyotumbuliwa sidhani lm mwaka huu utaweza kufikisha kiasi hicho tena mana tumbua tumbua na wewr imekupitia
shauri yakooo
 
Sumaku hiyo... a.k.a uchawi wa kizungu!

Nenda kajenge heshima Bar, afu kesho mornie ukakope supu kwa mama ntilie.
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom