tete'a'tete
JF-Expert Member
- Feb 10, 2010
- 472
- 62
Mabrodaaaaaz na masistaaz karibuni kwenye mazoezi kweli nilisoma hapa kwa blog ni jinsi gani nitakata wait sasa tupo kama dadaz wanne hivi sasa tunatembea muda wa 1hr na pia nakula kidogo ni kama week mbili sasa majibu nimeyaona karibuni tujishughulishe anayetaka kujiunga anipm tuwe pamoja mida ni jioni after working hrs...
Tanzania na Mazoezi Tunaweza....Mchana mwema...
Tanzania na Mazoezi Tunaweza....Mchana mwema...