Gosbertgoodluck
JF-Expert Member
- Mar 3, 2008
- 2,855
- 401
Nakubaliana nawe Lizzy.Well sio kila tunda linaloonekana kuiva lina utamu ndani.
Muwe mnaongeza sukari.
Nakubaliana nawe Lizzy.Well sio kila tunda linaloonekana kuiva lina utamu ndani.
Muwe mnaongeza sukari.
Mambo mengi muhimu ni ule utamu wa ndani unaolingana au kuendana na mwonekano wa nje. Wengi wetu tumeishia kujilaumu kwa kupoteza muda na fedha. Tunachokiona na kuonja kwa ndani hakifanani hata kwa robo na kile cha nje.
Wadau,me cjui nina ugonjwa gani,yani kila nkiona mdada amevaa kipedo au skin jeans afu awe na figure flani hvi nzur huwa nadata.
Mwaya wanakushambulia bure... skin jeans ndo mpando mzima! Hata mvaaji anafeel same si wewe tu mtazamaji. :juggle:
Tatizo figure nyingi ni feki zipo kichina zaidi,Angalia sofa la kichina ukiliangalia kwa nje saafiiii,ukilinunua tu feki.Mambo mengi muhimu ni ule utamu wa ndani unaolingana au kuendana na mwonekano wa nje. Wengi wetu tumeishia kujilaumu kwa kupoteza muda na fedha. Tunachokiona na kuonja kwa ndani hakifanani hata kwa robo na kile cha nje.
Bora uendelee kudata kwa kuona tu. Ukifungua ndani hutaona cha maana. Kwa akina sisi tuliopata fursa ya kufunua wengi tumeishia kujilaumu tu.
Wadau,me cjui nina ugonjwa gani,yani kila nkiona mdada amevaa kipedo au skin jeans afu awe na figure flani hvi nzur huwa nadata.
aiseeeeeehhhh bora nimechelewa kufika pahala hapa.
kishuzi hiki ulikipiga picha na simu yako nini mkuu? Nalog off
Baba kifunu nini wewe? Haya ulifaidi nini kuwafunua? Mikosi mingine mnaita wenyewe
check mtoto ka huyu,c unaweza uweke hata nyumba ya urithi wa wazazi wako bond hvi hvi!