Bishanga
JF-Expert Member
- Jun 29, 2008
- 15,323
- 10,050
konnie,umeamua kunichonganisha na klorokwini? unadhani sijitaki mpaka niingilie anga za wakubwa?
Last edited by a moderator:
konnie,umeamua kunichonganisha na klorokwini? unadhani sijitaki mpaka niingilie anga za wakubwa?
Ruhazwe JR,unamfananisha Kongosho na shibuda? si ataringa? huyu konnie ni sawa na kaboka mchizi haishi vituko,mpaka abondwe ndo anatulia.Kongosho naomba kukuuliza hiv kale kaugonjwa kanakomsumbua shibuda na wewe kamekupata?
embu nifowadie zile ambazo Mama Ashrat alikuwa anatumiana na Baba Ashrat,ni muhimu uzilete kwangu for security reasons.
konnie,umeamua kunichonganisha na klorokwini? unadhani sijitaki mpaka niingilie anga za wakubwa?
kwa nini?hizo kwa kweli ntazituma kwa supa modi.
Wewe huna kifua cha kuzisoma.
Ruhazwe JR,unamfananisha Kongosho na shibuda? si ataringa? huyu konnie ni sawa na kaboka mchizi haishi vituko,mpaka abondwe ndo anatulia.
yanakuhusu?kama mie kaboka mchizi, wewe pipino, kazi kuota tu uko na mama ashrat.
embu nifowadie zile ambazo Mama Ashrat alikuwa anatumiana na Baba Ashrat,ni muhimu uzilete kwangu for security reasons.
hizo kwa kweli ntazituma kwa supa modi.
Wewe huna kifua cha kuzisoma.
Raha iliyoje kwenye ka red hapo! nimefurahiaje? kumbe ngosha katupwa kureeeeee.. Kongosho habari ndo hiyo,na ukome sasa na kimbelembele chako cha wifi wifi wifi wifiiiii,serves you right.
Raha iliyoje kwenye ka red hapo! nimefurahiaje? kumbe ngosha katupwa kureeeeee.. Kongosho habari ndo hiyo,na ukome sasa na kimbelembele chako cha wifi wifi wifi wifiiiii,serves you right.
Haahahaha. . . hizo si za kabla hujaleta maneno. . .sasa hivi hamna cha PM wala nini.kwa kweli PM zenu zina mapenzi mazito mno.
Hadi wivu lol
Zangu zilizotoka kwa klorokwini, Ndahani, EMT, Erickb52 , The Boss,
Rejao, M'Jr Nyani Ngabu na Kaunga zimepotea. kama ziko kwako naomba nifowadie.
Zangu zilizotoka kwa klorokwini, Ndahani, EMT, Erickb52 , The Boss,
Rejao, M'Jr Nyani Ngabu na Kaunga zimepotea. kama ziko kwako naomba nifowadie.