Haya mapenzi ya enzi za jk haya! Ingekua wewe ungefanyaje?

Hapa kuna mapenz au nin leo nimemsindikiza hospital thn akapima akanitel haumwi ki2 alafu amepewa dawa kuzisoma ni ya viginer duu nika jifanya sijui kumuuliza akantel niya rashez mi nikavunga.


Huyu msichana sijui vp jaman
yan yeye nikimwomba ni meet naye anaulizia hela kila ki2 yeye ni hela alafu ni mwongo sana.
Naomben msaada huyu m2 nimweke kundi gan?

uzinzi dhambi, muogopeni Mungu.
 
jf vituko haviishi,ushamjua ni muongo na mpenda hela,kwa nini bado upo nae.na hiyo cream nahisi ni ya fungas ktk sehemu nyeti.kwa nini aone aibu kukwambia?
 
kuna kitu anakutafutia, we subiri ukikipata ndo utajua kama anakupenda ua laaah
 
jf vituko haviishi,ushamjua ni muongo na mpenda hela,kwa nini bado upo nae.na hiyo cream nahisi ni ya fungas ktk sehemu nyeti.kwa nini aone aibu kukwambia?

Hapo ndo ninapo jiuliza na 2mesha kaa miaka 3 now sijawai hata ku duu naye!!
 
Hapa kuna mapenz au nin leo nimemsindikiza hospital thn akapima akanitel haumwi ki2 alafu amepewa dawa kuzisoma ni ya viginer duu nika jifanya sijui kumuuliza akantel niya rashez mi nikavunga.


Huyu msichana sijui vp jaman
yan yeye nikimwomba ni meet naye anaulizia hela kila ki2 yeye ni hela alafu ni mwongo sana.
Naomben msaada huyu m2 nimweke kundi gan?


Mmmmmh hapo fukuza mwizi.....ukikaa kimya nawe ipo siku utaingia hospital na kupewa Penis cream....!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom