President Elect
JF-Expert Member
- Aug 9, 2011
- 693
- 212
Uhuru Day + ujio wa George Bush = NO al-shabab, full shangwe!
Kidogo wagongane. halafu mbona ndege zenyewe mitumba?. mtume ka roho kangu leo! sijui kima siku itaisha salama iwapo wataendelea kupita. Mia
Hiyo siku ya uhuru nategemea kamanda Kova atutangazie kuwa tusitoke majumbani kwetu maana alshaabab wanataka kulipua taifa. Au kitisho chao kimeshaisha?
Pesa za manunuzi yake yalishaliwa na mnadhimu wa ----- aitwaye--
Kuna mtu aliwahi kuwaita baadhi ya wanaJF ''cyber critics''. Ni watu wa kupinga kila kitu. Ndege za kivita ni tofauti na ndege za kawaida ktk mwendo, kuiyumbisha ama kufanya mbwembwe mbalimbali na hata mlio wake ni tofauti.