coscated
JF-Expert Member
- Nov 17, 2010
- 2,919
- 1,968
Wewe bado upo upo sio? Haha umenichekesha sana oa ndugu usiogope
kuna haja ya kusubiri subiri wakati wa kuoa nimkute mwenza wangu homoni na mzuka umepungua wa kupiga yale mambo huenda itasaidia whatever hata nikikuta nyenzo imekomaa kama ngozi ya kiwiko potelea mbali.