tunalazimika
JF-Expert Member
- Nov 5, 2010
- 1,098
- 256
Hiki kisa ni cha leo leo.
Nina rafiki zangu wawili ambao ni wafanyabiashara, ivo mara nying huwa nakutana nao weekend kwsbb ninaish mbali na wao ingawa wao mara zote hushinda pamoja kwasbb ya nature ya biashara zao na kwsbb pia ni majirani.
Sasa leo nimefanikiwa kushinda na mmoja ya hawa marafiki zangu , wakat wa mazungumzo nikawa najaribu kusifia msimamo na mwenendo wa mke wa yule jamaa yetu ambaye leo hatukuwa nae, katika hali ya kushangaza nikaona jamaa ana ni crush sana na baada ya kubishana kitambo akanieleza kuwa yule shemeji ni mpenz wake na kwamba ni yeye aliyelazimisha uhusiano huo wakat mshikaj huyu mambo yake yalipokuwa magum na kujikuta mshikaj huyu akidaiwa na mume wa huyu shemej huyu.
Jambo hili halikunichanganya hata kidogo kwsbb ni mambo ya kawaida ila pale aliponiambia eti bila kula ule mtandao wa robo shilingi yaan analia kabisa, sasa nikimuangalia mumewe cdhan lama mtandao huwa au anaweza kuutumia hata cku moja maishan mwake.
Mwanamke huyu pia ni wale wa kariba ya kutotongozeka, mlioana kaz ipo.
Nina rafiki zangu wawili ambao ni wafanyabiashara, ivo mara nying huwa nakutana nao weekend kwsbb ninaish mbali na wao ingawa wao mara zote hushinda pamoja kwasbb ya nature ya biashara zao na kwsbb pia ni majirani.
Sasa leo nimefanikiwa kushinda na mmoja ya hawa marafiki zangu , wakat wa mazungumzo nikawa najaribu kusifia msimamo na mwenendo wa mke wa yule jamaa yetu ambaye leo hatukuwa nae, katika hali ya kushangaza nikaona jamaa ana ni crush sana na baada ya kubishana kitambo akanieleza kuwa yule shemeji ni mpenz wake na kwamba ni yeye aliyelazimisha uhusiano huo wakat mshikaj huyu mambo yake yalipokuwa magum na kujikuta mshikaj huyu akidaiwa na mume wa huyu shemej huyu.
Jambo hili halikunichanganya hata kidogo kwsbb ni mambo ya kawaida ila pale aliponiambia eti bila kula ule mtandao wa robo shilingi yaan analia kabisa, sasa nikimuangalia mumewe cdhan lama mtandao huwa au anaweza kuutumia hata cku moja maishan mwake.
Mwanamke huyu pia ni wale wa kariba ya kutotongozeka, mlioana kaz ipo.