Herbalist Dr MziziMkavu JF-Expert Member Feb 3, 2009 42,316 33,125 Apr 26, 2010 #1 Maziwa na Biskuti yakaa ndani ya kikalio Ehh mambo hayooo Attachments image001.jpg 106.4 KB · Views: 241
Waberoya Platinum Member Aug 3, 2008 15,169 10,785 Apr 26, 2010 #3 msisifie ugonjwa jamani, kilema chake ni cha kipekee na sio common, lakini sio kuwa yuko normal, anaumwa
msisifie ugonjwa jamani, kilema chake ni cha kipekee na sio common, lakini sio kuwa yuko normal, anaumwa
PakaJimmy JF-Expert Member Apr 29, 2009 16,203 8,724 Apr 26, 2010 #4 Ni wa kulazwa na kufanyiwa 'ops pale MOI huyu!...Sioni kinachovutia maungoni mwake!
Babylon JF-Expert Member Feb 5, 2009 1,332 82 Apr 26, 2010 #7 Mmmm hapo mwanamme ukiwa moyo wako mwepesi unajikuta umeshapotea njia.
Sajenti JF-Expert Member Apr 24, 2008 3,651 412 Apr 27, 2010 #8 Babylon said: Mmmm hapo mwanamme ukiwa moyo wako mwepesi unajikuta umeshapotea njia. Click to expand... ..Mkuu haya madude ndio yanawafanya wanaume kujitoa mhanga hivi hivi....Kha!...
Babylon said: Mmmm hapo mwanamme ukiwa moyo wako mwepesi unajikuta umeshapotea njia. Click to expand... ..Mkuu haya madude ndio yanawafanya wanaume kujitoa mhanga hivi hivi....Kha!...
Gaijin JF-Expert Member Aug 21, 2007 11,812 5,284 Apr 27, 2010 #9 mmmh ............. wanaume poleni...............maana vizuri havishi