Haya malezi au vipi?

Edmund

Senior Member
Jul 17, 2009
123
62
Natoka kwa Job naelekea zangu home nafika nyumba moja kabla ya kufika kwangu (kwa jirani).
Nakuta Mke wa jirani anafua nguo za watoto wake watatu (3) wote wa kiume huku wakiwa wamemzunguka mmoja ana miaka kama 9, wa pili miaka kama 7, na wa mwisho ana miaka kama 4. katika hali ya kushangaza namuona MAPAJA mpaka "TAITI" ya ndani kabisa kajiachia full kula hewa.
Baada ya yeye kuniona tu ndio anaanza kuvaa vaa na kujifunika vizuri maungo yake,

SWALI: Je kati ya MIMI na wale watoto zake wa kiume ni NANI ambaye hastahili kuona hata maungo ya huyo mke wa jirani.
 
Kauli zako zimejaa matamanio ya hali ya juu.
Natoka kwa Job naelekea zangu home nafika nyumba moja kabla ya kufika kwangu (kwa jirani).
Nakuta Mke wa jirani anafua nguo za watoto wake watatu (3) wote wa kiume huku wakiwa wamemzunguka mmoja ana miaka kama 9, wa pili miaka kama 7, na wa mwisho ana miaka kama 4. katika hali ya kushangaza namuona MAPAJA mpaka "TAITI" ya ndani kabisa kajiachia full kula hewa.
Baada ya yeye kuniona tu ndio anaanza kuvaa vaa na kujifunika vizuri maungo yake,

SWALI: Je kati ya MIMI na wale watoto zake wa kiume ni NANI ambaye hastahili kuona hata maungo ya huyo mke wa jirani.
 
wote mnastahili kuona, ili muache kutamani! msipozoea, ukionyeshwa kama hivyo siku moja ndo unaweza kubaka. Lakini mkizoea mtaona kawaida sana.
 
Wewe hukustahili kuona kutokana na jinsi ulivyotoa details za ulichokiona; kikiongozwa na tamaa yako ya fis! Watoto wale wala hawakuwa na habari ya ulichokuwa ukiangalia wewe!.............:becky::becky::becky:
 
Back
Top Bottom