Natoka kwa Job naelekea zangu home nafika nyumba moja kabla ya kufika kwangu (kwa jirani).
Nakuta Mke wa jirani anafua nguo za watoto wake watatu (3) wote wa kiume huku wakiwa wamemzunguka mmoja ana miaka kama 9, wa pili miaka kama 7, na wa mwisho ana miaka kama 4. katika hali ya kushangaza namuona MAPAJA mpaka "TAITI" ya ndani kabisa kajiachia full kula hewa.
Baada ya yeye kuniona tu ndio anaanza kuvaa vaa na kujifunika vizuri maungo yake,
SWALI: Je kati ya MIMI na wale watoto zake wa kiume ni NANI ambaye hastahili kuona hata maungo ya huyo mke wa jirani.
Nakuta Mke wa jirani anafua nguo za watoto wake watatu (3) wote wa kiume huku wakiwa wamemzunguka mmoja ana miaka kama 9, wa pili miaka kama 7, na wa mwisho ana miaka kama 4. katika hali ya kushangaza namuona MAPAJA mpaka "TAITI" ya ndani kabisa kajiachia full kula hewa.
Baada ya yeye kuniona tu ndio anaanza kuvaa vaa na kujifunika vizuri maungo yake,
SWALI: Je kati ya MIMI na wale watoto zake wa kiume ni NANI ambaye hastahili kuona hata maungo ya huyo mke wa jirani.