Solomon Sumari - Arumeru Mashariki - Hajaapishwa mpaka leo ni mgonjwa
chiligati si ndio yule mwenye ndita ya vertical?
chiligati si ndio yule mwenye ndita ya vertical?
Solomon Sumari - Arumeru Mashariki - Hajaapishwa mpaka leo ni mgonjwa
1.Lema, dhambi ya ujambazi inamtafuna.
2.Halima Mdee, kaacha majukumu ya ubunge kakimbilia urembo.
3. John Mnyika, Jimbo limemzidi uzito.
4. Mchungaji Petel Msigwa, huyu kajisahau anadhani yupo kanisani
4. Joseph Mbilinyi huyu ni mzigo kwa wana Mbeya..
Hawa ni baadhi ya wabunge ambao majimbo yao yatakuwa wazi
Januari makamba-laana ya kufanyiwa kampeni na BarrickHii tathimini nimeifanya kutokana na tabia zao na maisha wanayoishi,ongezea wa kwako!
Peter serukamba--kigoma--kiburi cha uzima(ushamba)
Abdala kigoda--Handeni--ulevi lazima umtoe
Adam kigoma malima--mkuranga--kubadilisha majini,baada ya sheikh yahaya kufa amepata mganga mwingine na majini yatamtoa
John chenge--bariadi--mshtuko wa matokeo ya kuvuliwwa gamba
Anne semamba makinda--njombe-tamaa ya kuolewa
Anne kilango malecela--same--=tamaa ya kurithi mali za bwanake zitafanya watoto wa bwanake wamtoe
Augustino laytonga mrema-himo--kisukari na kale kaugojwa ketu
Ezekiel maige--msalala--kujipendekeza
Gabriel makala--mvomero--kujirusha na tamaa ya wanawake
George mkuchika--newala--roho mbaya
Hery shekifu-lushoto-anajua mwenyewe sitaki kutaja hapa
John mmomose cheyo-bariadi--tamaa na usanii
Jonh chiligati-manyoni-roho mbaya na uchawi
Hii tathimini nimeifanya kutokana na tabia zao na maisha wanayoishi,ongezea wa kwako!
Peter serukamba--kigoma--kiburi cha uzima(ushamba)
Abdala kigoda--Handeni--ulevi lazima umtoe
Adam kigoma malima--mkuranga--kubadilisha majini,baada ya sheikh yahaya kufa amepata mganga mwingine na majini yatamtoa
John chenge--bariadi--mshtuko wa matokeo ya kuvuliwwa gamba
Anne semamba makinda--njombe-tamaa ya kuolewa
Anne kilango malecela--same--=tamaa ya kurithi mali za bwanake zitafanya watoto wa bwanake wamtoe
Augustino laytonga mrema-himo--kisukari na kale kaugojwa ketu
Ezekiel maige--msalala--kujipendekeza
Gabriel makala--mvomero--kujirusha na tamaa ya wanawake
George mkuchika--newala--roho mbaya
Hery shekifu-lushoto-anajua mwenyewe sitaki kutaja hapa
John mmomose cheyo-bariadi--tamaa na usanii
Jonh chiligati-manyoni-roho mbaya na uchawi
achana na hao...hata mkuu wa kaya Dr. Nazi anaweza akakick the ndoo kabla ya 2015 kwa tension anayoiface kwa sasa, amekuwa mzigo sio wa kwa watz tu, dunia nzima.
kuna wakati wakujifurahisha ila hii sredi ina ukweli
Hongera kwa kutambua kuwa watu wote humu JF wana akili kama zako, sikutegemea mada kama hii humu ndani ya kuwadhalilisha waheshimiwa wabunge. Sasa kama lengo lako lilikuwa ni kutoa matusi kwa wabunge wa vyama tofauti na CHADEMA angalia sasa umeumbuka , hayo yanayoporomoshwa kwa ajili wale wa CDM utayazuiaje? Tuwe waungwana By the way hizo ni personal issues yanahusiana vipi na kuondoka kwa majimboni. Inawezekana wewe ni zaidi yao.Hii tathimini nimeifanya kutokana na tabia zao na maisha wanayoishi,ongezea wa kwako!
Peter serukamba--kigoma--kiburi cha uzima(ushamba)
Abdala kigoda--Handeni--ulevi lazima umtoe
Adam kigoma malima--mkuranga--kubadilisha majini,baada ya sheikh yahaya kufa amepata mganga mwingine na majini yatamtoa
John chenge--bariadi--mshtuko wa matokeo ya kuvuliwwa gamba
Anne semamba makinda--njombe-tamaa ya kuolewa
Anne kilango malecela--same--=tamaa ya kurithi mali za bwanake zitafanya watoto wa bwanake wamtoe
Augustino laytonga mrema-himo--kisukari na kale kaugojwa ketu
Ezekiel maige--msalala--kujipendekeza
Gabriel makala--mvomero--kujirusha na tamaa ya wanawake
George mkuchika--newala--roho mbaya
Hery shekifu-lushoto-anajua mwenyewe sitaki kutaja hapa
John mmomose cheyo-bariadi--tamaa na usanii
Jonh chiligati-manyoni-roho mbaya na uchawi
Jamani vp kuhusu Jeremia Sumari?
Hivi huyu kilaza sumari bado yupo?? jaman wameru mnatuangusha sana.
Tamaa ya kuolewa ya Ana Makinda imeniacha hoi...umri huo bado anataka kuolewa?
Mdee naye atatoka kwa ulevi, ganja na tamaa ya kuolewamdee ana maneno makali!