BAGAH
JF-Expert Member
- Jan 17, 2012
- 4,523
- 1,060
...huwa najiuliza mwanadada anapokuomba msaada kijana wa kiume,unakua na nguvu za ajabu kusaidi...(hapa naongelea mizigo zaidi)...leo nimekuta mdada kabeba ndoo ya maji...nikamwambia pole...akasema mmmmh,pole labda unisaidie zile ndoo paleee!(zilikua mbili) nikazikamata kwa pamoja mpaka kwao...BTW simfahamu huyu bi dada!...kiukweli zilikua nzito...
juzi flani tena bi dada mmoja ametoka Alpha dry cleaner...mingup kibao inataka kumdondosha...mshkaji wangu akamwambia poleee!..dada akasema...mmmh asante...nisaidie basi...mshkaji akakamata..paaap akaweka begani mpaka kwenye gari ya yule du.
atleast alichukua namba ya simu...wanawasiliana..sijui wamefikia wapi...asee wadada wana nini hawa?
juzi flani tena bi dada mmoja ametoka Alpha dry cleaner...mingup kibao inataka kumdondosha...mshkaji wangu akamwambia poleee!..dada akasema...mmmh asante...nisaidie basi...mshkaji akakamata..paaap akaweka begani mpaka kwenye gari ya yule du.
atleast alichukua namba ya simu...wanawasiliana..sijui wamefikia wapi...asee wadada wana nini hawa?