Hemed Maronda
Senior Member
- Oct 27, 2010
- 138
- 43
Nakumbuka wakati mfumo wa vyama vingi unaruhusiwa hapa Tanzania njia kuu ya mawasiliano ya kupata taarifa muhimu za vyama ilikuwa ni magazeti moja ya magazeti mahiri kwa wakati huu yalikuwa ni MOTOMOTO,MFANYAKAZI,JOHARI magazeti haya yalikuwa yanaandika habari kwa umahiri na bila woga wowote lakini baada ya muda yakatoweka,nilikuwa nataka kufahamu hata wahariri wa magazeti haya tuamini kuwa wamekufa kama yalivyokufa magazeti yao?