figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,492
- 54,890
- Thread starter
- #21
ni mwafrica halisi sio?ninja!!!! hyo mbona kama ngozi yake mkuu we huoni!!!!!!
ni mwafrica halisi sio?ninja!!!! hyo mbona kama ngozi yake mkuu we huoni!!!!!!
Wewe una hisi macho yake ni yanini?miaMi nilishamshauri abadilishe hiyo avatar coz inatisha nikaambiwa nabusu mamba shavu! Haya bana, mi napita tu.
ndiyo.miaKwa hiyo shida yako ni kujua jinsia yake??
Tatizo ni kwamba hayo macho nimeyafananisha. King'a mambovipi? mzee hajambo?. miaYaani ww umetongoza PM weeeh ukachoka, sasa unamuwazia Invisible!? Mtu mwenyewe haonekani, ukishamtongoa itakuwaje?
katavi huo uchonganishi mkuu. hahahaaaa...miaJamaa jasiri kweli...
Wewe una hisi macho yake ni yanini?mia
macho ya Invisible yanaangalia kila mmoja anayechungulia humu JF
Sijui nikuning'onezee?
funguka mkuu. ntakulinda. Mia
nmejitahidi kumtambua macho ya Invisible lakini nmeshindwa. kila nikimuangalia ananikonyeza. naamin hapa jf kuna watu wanaweza kutambua jinsia ya mtu kwa kumuangalia macho, pua na hata masikio. natamani kujua jinsia yake. tuseme wote wanao vaa kininja ni wanaume tu?. hebu mchunguze macho kwa makini then mnipe jibu.
Ni kwa nia njema tu. usikute najichelewesha. Mia
papito mm haijalishi ni jinsia gani ukimpata kwa pm nishtue na mm
nataka kumuona live. hata mm ni kwa nia njema tu. mwaaaaaaah.
iko poa ila haituambii jinsia gani. :help: :help: :help: funguka bac.
Mtu gani Ana macho yanayokonyeza muda wote?
hahahahaaaaaa......!!!!. shaka Invisible kalipokea kwa furaha hilo busu. Natamani ingekuwa mimi, ningekujibu papo kwa papo mwaaaaaa...!!! ya nguvu. Mia
kwani wewe ulishaona kitu chochote achilia mbali mtu, kinacho konyeza mda wote? mia
Hayo macho yanaogopesha