measkron
JF-Expert Member
- Apr 11, 2011
- 3,782
- 2,406
Nimetoka Singida naelekea Arusha, nimepanda Mtei bus yaani linasimama kila sehemu limejaza sana na abiria wengi wamesimama.
Ninachoshangaa traffic wapo barabarabi na wanalisimamisha gari wanachungulia mlangoni ambapo kwa uwingi Wa abiria hawawezi ingia, mara wanachungulia madirishani ni kuturuhusu huku konda akitoka nje kumalizana nao, abiria wanapiga kelele hakuna hewa huku wengine wakitapika.
Jamani Hawa traffic kazi Yao nini Kama sio kusimamia usalama barabarani?
Ninachoshangaa traffic wapo barabarabi na wanalisimamisha gari wanachungulia mlangoni ambapo kwa uwingi Wa abiria hawawezi ingia, mara wanachungulia madirishani ni kuturuhusu huku konda akitoka nje kumalizana nao, abiria wanapiga kelele hakuna hewa huku wengine wakitapika.
Jamani Hawa traffic kazi Yao nini Kama sio kusimamia usalama barabarani?