pmwasyoke
JF-Expert Member
- May 27, 2010
- 4,593
- 2,978
umenikumbusha leo nimekutana zumbumkuku ktk mishemishe kavaa t-shrit yenye picha ya mbunge mmoja hivi imeshapoteza rang yake ilikua ya kijani lakini sasa ni ya udogo na matobo matobo nikamuuliza vip? Huyo kwenye hiyo picha hajakupa sabuni? Halafu si ukamwambie t-shrit imechakaa? Akajibu najuta nimekoma enzi zile za kampen alikua ana2tambua na ku2saidia lakini sasa akikutana na sisi ana22kana nikamwambia eheee! ndo mkome! Akaanz kulia
Baadhi walizipokea na kuzivaa hizi Tshirt sio kwa sababu ya ushabiki, bali kwa umasikini. Aache Tshirt ya bure!