Haya kwa wale wanaotaka kumtumia mtu email pasipo na kuunganisha internet chukua hii

Mtoa mada alitupotosha yani mimi alinifanya nitafakari na niwaze sana daah inakuwaje emails zinatumwa na kupokelewa pasipo kuwepo connection? Kumbe suala si kwamba znatumwa ila ni kwamba unaweza andika barua pepe zako bila kuwepo connection na ukazosend so zitabaki pending mpaka pale utakapo connect computer yako kwenye internet ndo ztaenda. Hii kitu hata outlook ipo kwa hiyo si kwamba bila connection kabisa emails zitakwenda kama mtoa mada alivyoodai hapo mwanzo.
huyu jamaa kakurupuka hiyo kitu haiwezekani bila connection kabisa
 
Tatizo la watu wengi ni kukosa abc za how thinks work. Especially kwenye haya mambo ya technology. Kuna jamaa mmoja phd holder amenipigia simu kuhusiana na hili swala baada ya kuona hii thread. Nikamweleza haiwezekani lakini yeye akang'ang'ania it is possible. This works the same as any other email client. Now days browsers kama opera na chrome zina features za mail client. Inanikumbusha mama mmoja nili connect laptop yake kwenye wireless access point ya ofisini akawa anapata internet bila cable. Jioni akiwa nyumbani kwake akanipigia simu kuwa wireless yake haifanyi kazi tena she was very disappointed
 
Tatizo la watu wengi ni kukosa abc za how thinks work. Especially kwenye haya mambo ya technology. Kuna jamaa mmoja phd holder amenipigia simu kuhusiana na hili swala baada ya kuona hii thread. Nikamweleza haiwezekani lakini yeye akang'ang'ania it is possible. This works the same as any other email client. Now days browsers kama opera na chrome zina features za mail client. Inanikumbusha mama mmoja nili connect laptop yake kwenye wireless access point ya ofisini akawa anapata internet bila cable. Jioni akiwa nyumbani kwake akanipigia simu kuwa wireless yake haifanyi kazi tena she was very disappointed


duh email inapaa yenyewe na ungo nn?
 
Umejaribu lakini? au una Sapport tu?

Samahani Mkuu, Nakuheshimu sana kaka; lakini naomba nikusumbue kidogo tafadhali. Hebu eleza kidogo kiutaalam, kama computer haina kabisa connection ya namna yoyote, hayo mawasiliano yanapatikana vp? Kichwa changu kidogo nimeshindwa kumeza. Nimefanya kama ullivyoelekeza, nika-unplug LAN kisha nikatuma ujumbe, nilivyokuja kucheck inbox kwa laptop yangu hakuna kitu, baada ya muda nikarudisha connection kwenye hiyo PC, nilivyoenda kwenye inbox nikakuta huo ujumbe! Samahani kwa usumbufu mkuu!
 
Hamna cha ajabu hapo.Ni sawa na sms zinazokua pending kama hamna network na kuwa delivered network inapopatikana.
 
Back
Top Bottom