Ralphryder
JF-Expert Member
- Nov 16, 2011
- 4,933
- 1,294
Ndio maana yake! mradi umezinduliwa na hayo ni baadhi tu ya maneno yaliyomo ktk hotuba yake ya kuweka jiwe la msingi, mbele ya balozi wa egypt!
Mabwanyenye bwana
Kwamba! daraja linageuka kanisa au msikiti? Aache dharau za kij.@*nga
Kwamba! daraja linageuka kanisa au msikiti? Aache dharau za kij.@*nga
huyu maguful anapiga
kelele2, mtu ukifika jimbon kwake aibu hamna maji safi na salama,umeme
shida kashindwa kufatilia chato wapate umeme wa bukoba utokao uganda
ambao huduma ni saa 24,anaacha wa2mie umeme wa jenereta usio na
uhakika,kifupi jimbo liko nyuma kimaendeleo ni aibu cjui hata ajivunia
nn
magwanda ndo watu gani?Mkuu angel,punguza jazba! nilitaka jusema mkapige picha za ndoa! Duh magwanda bana! jambo dogo tu,povu kibao!
magwanda ndo watu gani?
huyu maguful anapiga kelele2, mtu ukifika jimbon kwake aibu hamna maji safi na salama,umeme shida kashindwa kufatilia chato wapate umeme wa bukoba utokao uganda ambao huduma ni saa 24,anaacha wa2mie umeme wa jenereta usio na uhakika,kifupi jimbo liko nyuma kimaendeleo ni aibu cjui hata ajivunia nn