Inasikitisha sana kwani vijana hawa hawana tofauti kubwa baina yao - wote ni maskini, wanaotegemea vibahasha kila chaguzi, na baada ya hapo ni wachuuzi, na watu wa vijiwe vinavyolindwa dhidi ya bomoa bomoa ya jiji kwa sababu ni mashina ya UVCCM hata katika maeneo yasiyo halali, huku wote wakiendelea kuwa ni vijana wa kada moja - MASKINI Tanzania chini ya utawala wa CCM kwa miaka 50 plus;
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.