huu ni upupu wanaoufanya serikali ya jamhuri ya muungano wa mafisadi..! hapa hakuna equivalenncy ya mambo asee..! huu ni wizi mkuu sana asee.. na ni upupu mtupu naomba niishie hapo maana nikizidi kuongea nandani keyboard yangu itajaa machozi asee..! hawa madaktari wanapata shida kinyama halafu watu tunaotegemea waisimamie serikali wanaenda kulala hapo..! na likitokea swala la kudai posho wanakua wakali kweli kweli..! wakati wameenda kulala..! Mungu awarehemu hawa laa sivyo wangekua wamekufa kitambo sana..!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.