Husninyo
JF-Expert Member
- Oct 24, 2010
- 23,724
- 9,188
Kama huna msimamo ya nini kuendelea nae? Chapa lapa utakutana asiye na msimamo mwenzio mtaishi. acheni kulalamika nyie wanaume.
waeleze hao. We unakuta mdada kashapigika na life unategemea atatafuta mtu aliyekosa msimamo aendelee kutaabika!