mtanzania in exile
JF-Expert Member
- Feb 17, 2012
- 1,335
- 1,183
Habari zenu watanzania wenzangu. Mimi ndio kwanza nimejiunga leo na ukumbi huu.
Nimeona matangazo ya kazi kadhaa ambayo yanatumwa hapa kutoka kwa Tanzania Directory for Business, Entertainment & Travel Info jambo
ambalo lilinifanya kuitemebelea website yao kuona nafasi za kazi zaidi. Cha kusahngaza ni namna website hii
inavyoanika wazi CV za watu wanao submit kwenye website yao
Hii mimi sijapata kuiona na naamini wengi watakubaliana nami. Unapo upload CV katika recruitment site hutegemei
hata siku moja CV yako kuwekwa public, yaani kila anaeitembelea website hiyo anaona ulichoandika. CV ni private thing
na mtuma cv anategemea kuwa wanaotafuta wafanyakazi ndio pekee wanaopewa access ya kuona cv zao. CV ni chombo
cha kuuza talent yako ili uajiriwe, kuna competition nyingi na kila mmoja anapenda kuwa CV yake iwe kivutio zaidi kwa
mwajiri na kuitwa kwa interview.
Sasa kama hawa zoomtanzanaia.com wanziweka wazi cv za watu, hapo wanatowa chance kwa watu wengine kukopi cv za watu
na kuzifanya zao, jambo ambalo halipendezi na sio zuri. Ningeliomba wahusika wa website hii wasite mtindo huu.
ahsanteni
Nimeona matangazo ya kazi kadhaa ambayo yanatumwa hapa kutoka kwa Tanzania Directory for Business, Entertainment & Travel Info jambo
ambalo lilinifanya kuitemebelea website yao kuona nafasi za kazi zaidi. Cha kusahngaza ni namna website hii
inavyoanika wazi CV za watu wanao submit kwenye website yao
Hii mimi sijapata kuiona na naamini wengi watakubaliana nami. Unapo upload CV katika recruitment site hutegemei
hata siku moja CV yako kuwekwa public, yaani kila anaeitembelea website hiyo anaona ulichoandika. CV ni private thing
na mtuma cv anategemea kuwa wanaotafuta wafanyakazi ndio pekee wanaopewa access ya kuona cv zao. CV ni chombo
cha kuuza talent yako ili uajiriwe, kuna competition nyingi na kila mmoja anapenda kuwa CV yake iwe kivutio zaidi kwa
mwajiri na kuitwa kwa interview.
Sasa kama hawa zoomtanzanaia.com wanziweka wazi cv za watu, hapo wanatowa chance kwa watu wengine kukopi cv za watu
na kuzifanya zao, jambo ambalo halipendezi na sio zuri. Ningeliomba wahusika wa website hii wasite mtindo huu.
ahsanteni