Duh!So kuna watu wanaingia jamvini kwa kufuata mkumbo!?Kaazi kwelikweli!Haha Masa nimemuona kirabu moja ya Kampumu, Cheusimangala kaolewa na mwanaume ana wivu acha, CPU kabanwa na majukumu maana mkewe kajifungua si unajua mzee mzima? eti anasingizia Limbwata, Krolokwini haha mi simo...gaga naye duh katoa wimbo wa shetani atakuja mwenyewe kujibu, hehe wengine ngoja wasikie tu...watu baada ya Lizzy kula ban wanasusa kwanza kuangalia upepo.....