Cathode Rays
JF-Expert Member
- Nov 3, 2011
- 1,738
- 1,492
He is nowhere to be apparently seen but he surely lives in Mwigulu Nchemba
Last edited by a moderator:
View attachment 102055
alivuma sana baada ya kutoka upinzani
la saba hakumaliza mkuuhuyu jamaa ni ile shepu ya nitaitumia elimu yangu kwa hasara ya wote.
mchumia tumbo wa ukweli, mnafiki wa kisiasa
Wana jamvi wa JF, kuna wanajamii wa CCM ambao nahisi siku hizi wapepotea KISIASA! Siwasikii kabisa! Yusuf Makamba, Tambwe Hizza, Kingunge Ngombare, Ridhiwan Kikwete, Rostam Abudlrasud Aziz na John Chiligati. Mbona "WAMEPOTEA?" Kulikoni?hoto:
Ridhiwani yuko biz na biashara yake ya lake oil...
Wana jamvi wa JF, kuna wanajamii wa CCM ambao nahisi siku hizi wapepotea KISIASA! Siwasikii kabisa! Yusuf Makamba, Tambwe Hizza, Kingunge Ngombare, Ridhiwan Kikwete, Rostam Abudlrasud Aziz na John Chiligati. Mbona "WAMEPOTEA?" Kulikoni?hoto:
we unajua kama wamepotea afu unauliza wako wapi,? Mbona unajikanyaga kanyaga mkuu?