chuwaalbert
JF-Expert Member
- Sep 17, 2010
- 3,598
- 2,115
Wana jamvi wa JF, kuna wanajamii wa CCM ambao nahisi siku hizi wapepotea KISIASA! Siwasikii kabisa! Yusuf Makamba, Tambwe Hizza, Kingunge Ngombare, Ridhiwan Kikwete, Rostam Abudlrasud Aziz na John Chiligati. Mbona "WAMEPOTEA?" Kulikoni?hoto: