Hawa watoto ndio maana wanafail aisee

vodacom wanasema kazi ni kwako
wewe unataka nini?
unaweza ukafall yeye akifail
chukua hatua
 
Mwambie bakora yako ni ya maaana sana kwako na ndio sababu hata umekuwa baba wawili na hivo hana sifa hata kidogo kuichezea!
pia achana na rafiki wazembe wanaopweza kugawa namba yako bila ridhaa yako
 
Hebu ieleze mahakama hii tukuka ya JF..

Ulijisikiaje soon baada ya kuibanjua amri ya sita nje ya ndoa yako...

Au ulijifeel vipi uliporudi na kumkuta mama wawili,busy na wanae..mara maziwa ya S 26 yameisha...,mara uji ulezi umekuwa mwingi kwenye unga..,mara hili mara lile.. Ulijifee aje?
Majibu yote si sawa
 
Sangarara Post yako na. 53, mbona hayo maelezo hayana mshiko? Nilikuwa nakutetea kwa kukudhania una msimamo lakini naona kama kuna vitu haviko sawa.

Yeye amepelekewa fedha na huyo kijana na jioni mukakutana - jee hapo nani alifanya hiyo connection? Huyo binti ni mwongo anajua vyema labda wako kwenye mpango wa kutengeneza fedha pamoja. Na wewe upo katikati huna maamuzi.
Swali nililobaki nal: Kwa nini huyo jamaa katoa hiyo ela kwa lengo la kuwakutanisha na hataki kupokea simu yake Sangarara?
Bwana Sangarara, usidhani kama kisa hiki ndo kimeishia hapo, kuna zengwe unaandaliwa, linaweza kukulipukia bila kutarajia, kuwa makini sana na hii scandal inayokunyemelea. Huyo binti na huyo jamaa wana lao jambo, si bure... usawa huu mtu kutoa laki bila sababu, siamini
 
Mpitanjia nakwambia kwa hiyo investment ya laki moja yeye itamtoka milioni moja kama ransom.

My prediction: watakubaliana kwenda guest house, watakodi chumba ambacho tayari kimefungwa video camera na picha yote itawekwa kwenye mkanda. Atafumaniwa na ‘kaka yake’ feki na ataambiwa kwa usalama wake alipe milioni moja au mkanda ukauzwe kwenye magazeti ya udaku.

Na hapo ndipo atakapopata akili, mwache kwa sasa acheze na jamaa wa mission town.
 
Swali nililobaki nal: Kwa nini huyo jamaa katoa hiyo ela kwa lengo la kuwakutanisha na hataki kupokea simu yake Sangarara?
Bwana Sangarara, usidhani kama kisa hiki ndo kimeishia hapo, kuna zengwe unaandaliwa, linaweza kukulipukia bila kutarajia, kuwa makini sana na hii scandal inayokunyemelea. Huyo binti na huyo jamaa wana lao jambo, si bure... usawa huu mtu kutoa laki bila sababu, siamini

Bado nalifuatilia hili swala kwa ukaribu sana. Taarifa mpya ni kwamba Jamaa hapatikani kwenye simu tena na wala nyumbani ameonekana mara ya mwisho juma mosi mchana.

Watu wake wakaribu zaidi wanadai, Jamaa alikuwa anawatoa pesa wanaume waliokuwa wakitembea na huyo biinti na kisha anavuta pesa kwa binti pia. Mpaka sasa sijaelewa alikuwa anampango wa kunitoa pesa namna gani, nadhani kungekuwa na blackmailing fulani ambayo haijaniingia kichwani vizuri sababu tulikuwa tunaheshimiana na Jamaa katika viwango hadhimu sana.

Bahati mbaya issue naona kama haitaniacha salama, sababu imeishaanza kujulikana kwamba na mimi nilikuwa ni mteja wa binti ama prospective client wake na wengine wanadai na mimi ni partiner wa Jamaa katika kuwauza hao mabinti (Taarifa zinaonyesha kwamba Jamaa alikuwa anamuuza na binti wa mzee mwenye nyumba wake)

Hali ni tete indeed.
 
Bado nalifuatilia hili swala kwa ukaribu sana. Taarifa mpya ni kwamba Jamaa hapatikani kwenye simu tena na wala nyumbani ameonekana mara ya mwisho juma mosi mchana.

Watu wake wakaribu zaidi wanadai, Jamaa alikuwa anawatoa pesa wanaume waliokuwa wakitembea na huyo biinti na kisha anavuta pesa kwa binti pia. Mpaka sasa sijaelewa alikuwa anampango wa kunitoa pesa namna gani, nadhani kungekuwa na blackmailing fulani ambayo haijaniingia kichwani vizuri sababu tulikuwa tunaheshimiana na Jamaa katika viwango hadhimu sana.

Bahati mbaya issue naona kama haitaniacha salama, sababu imeishaanza kujulikana kwamba na mimi nilikuwa ni mteja wa binti ama prospective client wake na wengine wanadai na mimi ni partiner wa Jamaa katika kuwauza hao mabinti (Taarifa zinaonyesha kwamba Jamaa alikuwa anamuuza na binti wa mzee mwenye nyumba wake)

Hali ni tete indeed.

Baba wawili you are playing with fire oo! Sio kwamba my silence means nimekupotezea, ohooo! Ngoja niendelee kupata tu updates za hii story yako!
 
"Babbie, Pole na Kazi, Jana Mke wako aliharibu mipango yetu, mi nshatoka shule, naomba unieleze nikufuate
wapi ukishatoka Job, Loving you. Jina"

Hapa nimechanganyikiwa, namtafuta huyu rafiki yangu kwenye simu kumuuliza kwa nini kampe yule binti
number yangu, simu haipatikani. Na ninajiuliza huyu mtoto nikimkimbia zaidi na ndio kaanza kutuma mimessage
hili swala litajulikana kwa mama wawili sasa hivi.

Naomba ushauli wenu, ninachokifikiria nimuelekeze sehemu tukutane alafu nimcouncil kujihepusha na haya
mambo.
Au ndio ntakuwa natenda wema kupita uwezo???

Kumumindi mshikaji kumpa namba yako, itadhirisha personality yako iko weak. Kumkimbia sio kutatua hali iliyopo, cha msingi simama katika nafasi ya mzazi/mlezi mpe shule ya maisha na kama asipoonesha kukuelewa, mwambie asiwasiliane na wewe, na kama hataki, mweleze mkeo kwa kirefu, mjenge kisaikolojia ili akusaidie kutatua suala hili kwa kuwakutanisha sio kwa shari bali kwa heri tena binti mzuri asijue, ashtuke wife yuko hapa halafu wife wako anampa somo la kujlinda mbele yako. atakoma na anaweza kurudi shule kwa ari mpya
 
Hao watoto wa shule wasikushushie hadhi yako,achana nae hana hata cha maana cha kukupa uchafu mtupu...tulia na mkeo.
 
Kuna Binti mmoja kutokana na uzuri wake ililazimika abaki kwenye kumbu kumbu zangu
tangu mara ya kwanza tukutane Dukani Jirani na Maskani yangu. Baada ya nazani nilifanikiwa
kumuona mara ya pili akiwa amevaa school uniform ndo nikajua kwamba ni Mwanafunzi.

Sasa Jana Jioni, baada ya kufika home nikalazimika kwenda Bar Jirani na nyumbani ili nipate
serengeti zangu ndogo za baridi, nilipofika Bar nikakutana na Kijana mmoja mjanja mjanja
sana, na kafunga ndoa hivi karibuni, alikuwa akiingia Bar kama mimi, na sababu hatujaonana
muda mrefu tulipokariaba tukaanza kupeana salamu, hagi nyingi, vicheko, gonga sana mikono.
Haya yote tulifanya tukiwa jirani kabisa na meza ambayo kuna mabinti watatu walikuwa wamekaa
na sikuwa nimewali sababu niliishawapa mgongo pia by the time,

Sasa Jamaa akaniuliza, vipi wife kaishajifungua, sikumjibu bali nilimtolea simu na kuanza kumuonyesha
picha za uzao wangu, twe twins. a baby boy and a baby girl, nikamtajia na majina yao, sasa
huku jamaa akiwaanawashangaa matwins wangu kwenye simu, nikamsikia binti mmoja katika wale watatu
anayarudia majina ya watoto wangu, nikageuka kumuangalia, na yeye akawa ananiangalia, ikabidi nimpe
tano (nikagonga nae) huku namuambia uko juu hayo masikio sio ya kawaida - Na alikuwa ni yule
binti mzuri mwanafunzi. ndo apo nikagundua kumbe anapiga mvinyo pia, maswali mengi sana
yakapita kichwani mwangu muda huo huo, lakini nika let it go.

Then Jamaa huyu akaniambia vipi, karibu tukae mi niko na dada zangu hapa, nikakwepa, nikamueleza kuna
mtu namsubiri tunamaongezi hivyo ngoja nikakae palee, nikamplease kidogo na yeye akanielewa.

Cha Hajabu
Wakati naanza Serengeti ya Pili, Yule Jamaa akaja, akaniuliza, una mfahamu yule binti, nikamuuliza yupi,
akaniambia yule kanyoa nywele (binti mzuri), nikamueleza navyo mjua, na kwamba hata Jina wala anaishi
wapi au kusoma wapi sijui.

Jamaa Akafunguka
Hoo Binti anakaa na dada yake mtaa wetu huo huo (huyu kijana anaishi mbali ha hapa kidogo), akanielekeza
nyumba, na akaanza kunieleza anaishi na nani, ikabidi nimuwahi, kwani vipi? Hoo unajua huyu binti pale
kaja na rafiki zake, ili mimi kaniagiza kwako. "nikasema kimoyo moyo kazi imeanza". Oooh anakufahamu
sana, na amefurahi sana pale mlipogongesha mikono, "nikajua hili gemu kali". Oooh, na ameishaambiwa
mke wako mkorofi sana hivyo anaomba tuhame hapa twende sehemu ingine ana maongezi na wewe.
Nikamuuliza Jamaa, wewe unafanya nini na wale mabinti, mnaongea nao nini? Jamaa akaniambia tutaongea
mbele, akaniuliza tunaenda wapi. nikamuambia akamuuliza huyo binti anataka twende wapi, Ile Jamaa
anasimama tu kuelekea kwenye meza ya wale mabinti. Nikampigia simu wife aje Bar haraka sana, na fasta
nikawaagizia ile meza vinywaji na nikalipa. Wife alipikuja nikamuambia nikamuambia nilijisau kuja na pesa
Bar kwa hiyo kama kaja nayo anilipie bia mbili tuondoke, akakubali akalipa na tukaondoka. nikawa
nimemkwepa Ibilisi.

Tatizo ni kwamba, Nimeamua kutoa mchapo huu, sababu mchana huu, Nimepokea message iliyotoka kwa
huyo binti inasema
"Babbie, Pole na Kazi, Jana Mke wako aliharibu mipango yetu, mi nshatoka shule, naomba unieleze nikufuate
wapi ukishatoka Job, Loving you. Jina"

Hapa nimechanganyikiwa, namtafuta huyu rafiki yangu kwenye simu kumuuliza kwa nini kampe yule binti
number yangu, simu haipatikani. Na ninajiuliza huyu mtoto nikimkimbia zaidi na ndio kaanza kutuma mimessage
hili swala litajulikana kwa mama wawili sasa hivi.

Naomba ushauli wenu, ninachokifikiria nimuelekeze sehemu tukutane alafu nimcouncil kujihepusha na haya
mambo. Au ndio ntakuwa natenda wema kupita uwezo???
Kazi ndogo sana hiyo,panga siku ukutane nae bar kama alivyozoea,alafu muambie mama wawili aje na umpe habari yote nyumbani,kama mna ka usafiri mwache waif kwenye gari tena akiwa na bakora kadhaa za mianzi,wewe uanze kuonana na huyo binti then umbeep waif ili aje,akija pale asihoji kitu ni mbakora mfululizo kwa huyo binti ili iwe somo kwa wenzake!!!!
 
8 Reactions
Reply
Back
Top Bottom