Dr Klinton
Senior Member
- Jan 21, 2012
- 123
- 152
AnGALIA hIZI NI HISIA ZA GREAT THINKER MMOJA....
Mimi nina SHAKA na TAARIFA MCHANGANYIKO JUU YA HALI YA COMRADE ULI, upande mmoja tunaambiwa yuko mahututi (UNCLEAR SOURCE), upande wa pili tunaambiwa anaendelea vizuri (DOCTORS). Who is the OTHER (UNCLEAR) SOURCE? To me, i am starting to smell a rat. Dilemma. Either ni kweli kuna instability katika hali ya comrade au kuna 'watu' wameamua kutoa TAARIFA POTOFU. Kama hili la pili ni sahihi (taarifa potofu), basi hapo ndipo SHAKA YANGU inazaliwa. Ni nani huyu anayetoa taarifa hizi, kwa lengo gani? Ninajiongeza (extrapolation), kwamba pengine ni 'adui', ambaye jaribio lake limefeli, lakini hajakata tamaa, anatafuta njia ya kumalizia 'kazi'. Taarifa hizi za hali mbaya zinaweza kutumika baadaye (paving the way) endapo atafanikiwa. Kwamba, hali yake ilikuwa ikidorora kila siku, kwamba alikuwa kwenye 'life support', kwamba alikuwa kwenye 'coma'. Kana kwamba tunaandaliwa kisaikolojia kupokea matokeo, if the worst is done! Nitoeni shaka plz, usalama wa comrade upewe priority.
MWISHO WA NUKUU
Mtazamo WANGU
NAONA USALAMA WANACHEZA MCHEZO MCHAFU HAPA AMBAO HAUTAFANIKIWA KWA WALIVYOSHONDWA KUFANIKISHA MENGINE
BBC WAMESEMA YUKO MAHUTUTI
BAADAE MTAANI OOHH MNAONGEZEA UZUSHI MWINGINE ......
LAANA YENU IMEISHA ANZA HAPA HAPA DUNIANI
Mimi nina SHAKA na TAARIFA MCHANGANYIKO JUU YA HALI YA COMRADE ULI, upande mmoja tunaambiwa yuko mahututi (UNCLEAR SOURCE), upande wa pili tunaambiwa anaendelea vizuri (DOCTORS). Who is the OTHER (UNCLEAR) SOURCE? To me, i am starting to smell a rat. Dilemma. Either ni kweli kuna instability katika hali ya comrade au kuna 'watu' wameamua kutoa TAARIFA POTOFU. Kama hili la pili ni sahihi (taarifa potofu), basi hapo ndipo SHAKA YANGU inazaliwa. Ni nani huyu anayetoa taarifa hizi, kwa lengo gani? Ninajiongeza (extrapolation), kwamba pengine ni 'adui', ambaye jaribio lake limefeli, lakini hajakata tamaa, anatafuta njia ya kumalizia 'kazi'. Taarifa hizi za hali mbaya zinaweza kutumika baadaye (paving the way) endapo atafanikiwa. Kwamba, hali yake ilikuwa ikidorora kila siku, kwamba alikuwa kwenye 'life support', kwamba alikuwa kwenye 'coma'. Kana kwamba tunaandaliwa kisaikolojia kupokea matokeo, if the worst is done! Nitoeni shaka plz, usalama wa comrade upewe priority.
MWISHO WA NUKUU
Mtazamo WANGU
NAONA USALAMA WANACHEZA MCHEZO MCHAFU HAPA AMBAO HAUTAFANIKIWA KWA WALIVYOSHONDWA KUFANIKISHA MENGINE
BBC WAMESEMA YUKO MAHUTUTI
BAADAE MTAANI OOHH MNAONGEZEA UZUSHI MWINGINE ......
LAANA YENU IMEISHA ANZA HAPA HAPA DUNIANI