Bramo
JF-Expert Member
- Oct 21, 2009
- 13,160
- 10,007
(1) Rais (Muungwana)------> Kutoka Bagamoyo
(2) Makamu wa Rais (PHD)-->Katokea Pemba
(3) Waziri Mkuu (Son of Peasant (SOP))---> Katoka Sumbawanga
Hivi bado tunajiuliza tumerogwa na nani?????
Maeneo waliyotoka hao jamaa ni kielelezo tosha cha ni nani katuroga na nani atupe jibu kama tumerogwa nani katuroga.
Mwaweza ku add mengine katika hiyo list...
(2) Makamu wa Rais (PHD)-->Katokea Pemba
(3) Waziri Mkuu (Son of Peasant (SOP))---> Katoka Sumbawanga
Hivi bado tunajiuliza tumerogwa na nani?????
Maeneo waliyotoka hao jamaa ni kielelezo tosha cha ni nani katuroga na nani atupe jibu kama tumerogwa nani katuroga.
Mwaweza ku add mengine katika hiyo list...