malema 1989
JF-Expert Member
- Jan 27, 2012
- 1,312
- 512
Aieseeee baba yangu hapo amepiga 2 kiroba je akipiga mbege iliyolala si ataku atakufa kweli
Hamwanandiyo, utakolie ni vavao lae?
Aieseeee baba yangu hapo amepiga 2 kiroba je akipiga mbege iliyolala si ataku atakufa kweli
Kwan alijua kama umempiga picha?
thubutu, si ungekuta leo hii ni RIP Saint Ivuga!
Naomba tusiende vitani tutumie njia nyingine kabisa twendeni hata kwenye mahakama za kimataofa ..hawa wengi wao wamefoji vyeti watatuaibisha
.View attachment 61387
Huyu wakwetu kasinzia na KONYAGI (kiroba)...Weka picha na askari wa MALAWI akiwa na kiroba cha POWER (aina yao ya konyagi) tuone nani anaonekana MCHOVU ZAIDI kabla hatujaamua kwenda VITANI...Kupgianisha WANYWA VIROBA HAWA
Huyu wakwetu kasinzia na KONYAGI (kiroba)...Weka picha na askari wa MALAWI akiwa na kiroba cha POWER (aina yao ya konyagi) tuone nani anaonekana MCHOVU ZAIDI kabla hatujaamua kwenda VITANI...Kupgianisha WANYWA VIROBA HAWA
Usione simba kanyeshewa ukadhani ni paka!
Hawa ndio wa kutanguliza mbele ili wawapunguze punguze kwanza
Naomba tusiende vitani tutumie njia nyingine kabisa twendeni hata kwenye mahakama za kimataofa ..hawa wengi wao wamefoji vyeti watatuaibisha
.View attachment 61387
Mishahara yao ni midogoo sana hasa hawa ma MP na Private lakini ma boss wao mishahara minonoo mpka basi kwahyo sishangai wakiwa kwnye hali hiyo na kunywa viroba ukiona sehem wanazoishi utasikitika sana,!