Jamaa hafai pia mkuu!Basi baba naomba samahani. Nimesema vile kwa sababu Magufuli akisimamia ujenzi atahakikisha unakamilika kisawasawa hata kama ataiba lakini atafanya kitu cha ukweli.
Kwa hali ya uzalendo , uzoefu na misimamo waliyonayo katika kazi zao na katika kusimamia masilahi na mali za taifa dr magufuli aka mzee wa kauili kali ni mtu anayeweza kuwa waziri mkuu akaweza kuwabana watafuna fedha za uma.mtu mwingine anayeweza kufanya kazi hiyo ni mzee sita .
Kwa hali ya uzalendo , uzoefu na misimamo waliyonayo katika kazi zao na katika kusimamia masilahi na mali za taifa dr magufuli aka mzee wa kauili kali ni mtu anayeweza kuwa waziri mkuu akaweza kuwabana watafuna fedha za uma.mtu mwingine anayeweza kufanya kazi hiyo ni mzee sita .
lusinde na mwigulu vipi?mmoja wao anaweza kuukwaa uwaziri mkuu.kwa hali ya uzalendo , uzoefu na misimamo waliyonayo katika kazi zao na katika kusimamia masilahi na mali za taifa dr magufuli aka mzee wa kauili kali ni mtu anayeweza kuwa waziri mkuu akaweza kuwabana watafuna fedha za uma.mtu mwingine anayeweza kufanya kazi hiyo ni mzee sita .
kama akina nani? mbona hutaji
Unamkumbuka"SUNDI MALOMO"wewe?yule demu wake MAGUFURI.
Tuchome majina, moshi mweupe ukitoka basi ndo huyo huyo !magu hana point hata 1 ya kuwa PM,RIZON anamudu wizara na HAWEZ u-pm
SITA ATALIPIZA VISAS!
Sita hawezi pewa,magufuli nyumba zetu ameuza.
Sure mkuu,nijaribu kumkumbusha jamaa mambo ya Magufuri alipomuhonga demu wake nyumba ya serikali kwa kigezo eti kainunua.
Kumbukeni na kauli za magufuri za kibabe,vipi kiongozi wa nchi unaweza waambia wananchi wako wasio na uwezo for 300tsh wapige mbizi?
That's why mkuu wa kaya ya Temeke alimwita wa kuja!
Hii inaonyesha ni kiasi gani magamba yalivyoota ukurutu!
Yani yote ni full uchafu mkuu.
Walahi uchaguzi mkuu ujao hali itakua tete sana.Sipati picha huyo atakayesimamishwa na "sisi hemu"ataanzaje kuomba kura?