Hawa wanafaa uwaziri mkuu Pinda akianguka...

Hivi yule mama wa Same mbona kimya sana kunani?au kishakabidhiwa mgao wake kama enzi zile za akina MZINDAKAYA?mpaka akapigwa kufuri la kudumu?
 
anna kilango malechela,,,,,,,jestina mhagama,,,merry nagu,,,,,,,,wote wanawake wenye majimbo,,,,,nawaombea kura muda huu si bora liende mpaka uchaguzi,,nguvu ya umma itakapo iarumeru nji hii,,la...isingekua katiba,,,dr wa ukweli augustino lyatonga mrema,,,,,,jembe la enzi,,,nji hii ingechangamka,,,,,,pendekeza na wewe,,,,,,,,,,ha,,ha,,haaaaaaaaaa,
 
Kwa Baraza la mawaziri lililopo sioni mtu mwenye sifa ya kuukwaa u pm iwapo italazimika kufikia hatua ya kuteua mwingine. Mvinyo ule ule chupa ile ile.
 
in genuine we need to think afresh all of them non is good in case sita let us ask how did he end richmond?magufuli ask about strabag company which is with down payment of 2.7bilion per month without working constracting the road from kahama-rusahunga-rusumo and other issues?
 
Watu wenye mfumo mzuri wanaweza hata kumuweka mtoto mdogo awaongoze, falme nyingi zishaongozwa na wafalme watoto, kwa msaada wa baraza.

Watu wenye mfumo mbaya hata "wakiteremshiwa malaika" awaongoze, "malaika" atashindwa.

Ni vizuri kuwaondoa hawa wahuni wanaotuhujumu ili kila mtu ajue tuko serious kuhusu uongozi bora.

Lakini kama tukiishia hapo na kutoangalia mabadiliko makubwa kabisa ya mifumo ya taasisi zetu, tutabaki kubadilisha watu. Mara Simba, hafai, Mbilinyi, hafai, Lowassa, hafai, Pinda, hafai.

Kumbe tatizo ni zaidi ya watu. Ni mfumo.

Kwa hiyo tuwatoe ili ujumbe ufike. Halafu tuangalie kwa kina zaidi matatizo ya kitaasisi.
 
Back
Top Bottom