Wewe umepona na "mtego" huo?kiufupi mi sioni mtego wowote,hii jf,kuna mambo mengi humu anzia siasa,michezo,mapenzi,habari mchanganyiko mpaka jokes na kila kimoja kinapata stahili yake ya mijadala,kupanga ni kuchagua,wewe kwa mfano umeingia kwenye "mtego" bila kujijua na kujikuta ukitumia muda mwingi ambao ungeweza kuutumia kwenye kuchangia mambo unayoyaona ya maana zaidi,umetegwa ukategeka!Poleni sana wana-JF wote mnaojadili thread hii.
Poleni kwa sababu mmenaswa kwenye mtego wa 'political diversion'.
Mtego huu unafanya kazi kama ifuatavyo:-
Kukiwa na maswala muhumu ya kujadili kwa wakati uliopo, mtu mmoja anaanzisha swala jingine tofauti kabisa.
Halafu anaugwa mkono na wenzake wachache wakijifanya kujibizana. Hapo wengine wengi hujikuta wakiingia kwenye majibishano hayo, na kuacha maswala muhimu. Ni sawa na mwizi aliyeiba pesa benki halafu akaanza kukimbia.
Watu wanaomkimbiza ili wamkamate watategwa na mwizi huyo kwa kutupiwa mabunda ya pesa barabarani.
Basi watu hao wote wataacha swala muhimu la kumkimbiza mwizi, na woote watajikuta wanakimbilia kuokota pesa.
Kwa sasa kuna maswala muhimu bungeni kuhusu ufisadi mkubwa sana (taarifa za kamati za bunge), uozo mkubwa sana katika utendaji wa serikali, nk.
Lakini wana-JF wamenaswa kwenye 'diversion' ya mambo ya uraisi wa 2015 !!!
Poleni wana-JF mlionaswa huko.
Kwa wametofautiana mawazo na wewe?WANACHADEMA HUYU MWENYE ID KIM KARDASH NI GAMBA,ANATUPOTEZA.anaweza kusema tumsimamisha millya arusha mjini 2muache lema.mara zote anakuja na mada za kukibomoa chadema.NAAPA KWAMBA SITAKAA NIICHANGIE THRID YAKE NA MUNGU ANISAIDIE.it seem that wote walotoa michango yao hapa ni magamba.
Poleni sana wana-JF wote mnaojadili thread hii.
Poleni kwa sababu mmenaswa kwenye mtego wa 'political diversion'.
Mtego huu unafanya kazi kama ifuatavyo:-
Kukiwa na maswala muhumu ya kujadili kwa wakati uliopo, mtu mmoja anaanzisha swala jingine tofauti kabisa.
Halafu anaugwa mkono na wenzake wachache wakijifanya kujibizana. Hapo wengine wengi hujikuta wakiingia kwenye majibishano hayo, na kuacha maswala muhimu. Ni sawa na mwizi aliyeiba pesa benki halafu akaanza kukimbia.
Watu wanaomkimbiza ili wamkamate watategwa na mwizi huyo kwa kutupiwa mabunda ya pesa barabarani.
Basi watu hao wote wataacha swala muhimu la kumkimbiza mwizi, na woote watajikuta wanakimbilia kuokota pesa.
Kwa sasa kuna maswala muhimu bungeni kuhusu ufisadi mkubwa sana (taarifa za kamati za bunge), uozo mkubwa sana katika utendaji wa serikali, nk.
Lakini wana-JF wamenaswa kwenye 'diversion' ya mambo ya uraisi wa 2015 !!!
Poleni wana-JF mlionaswa huko.
dr. Slaa
halima mdee
zitto kabwe
john mnyika
siyo kwa umuhimu. Sijajua umri wao lakini chochote chaweza kutokea kabla ya 2015 na kuwapa nafasi kiumri.
Lama unaona mbali zaidi ya darubini! usipokuwa makini utaenda na maji.. magamba wanajipenyesha kuingiza sumu kiakili lakini kwa wasiokuwa na akili! big up sana..WANACHADEMA HUYU MWENYE ID KIM KARDASH NI GAMBA,ANATUPOTEZA.anaweza kusema tumsimamisha millya arusha mjini 2muache lema.mara zote anakuja na mada za kukibomoa chadema.NAAPA KWAMBA SITAKAA NIICHANGIE THRID YAKE NA MUNGU ANISAIDIE.it seem that wote walotoa michango yao hapa ni magamba.
Huyu mtu alikuwa ni straight 'A' student P.C.M sekondari, na akaenda mlimani na division I, lakini kutokana na hulka yake ya uana harakati, wakam disco kwa makusudi; Ni kweli akijiendeleza litakuwa jambo la busara sana;
Dr slaa, hana ila YOYOTE! Mbona mwatapatapa??? Huu sio wakati wa kufanya majaribio, tutamsimamisha kugombea anayestahili kuwafanya watz kusahau dhiki zao zilizoletelezwa na magamba. Na huyo ni dr wa ukweli SLAA.
"ukiona kila anayetajwa kuwa Rais wa Tanzania 2015 hafai huenda unayefaa ni wewe jaribu bahati yako"