Hawa wanafaa kugombea urais kwa tiketi ya CHADEMA!

Mimi naona badala ya kujadili nani achukue bendera ya chdema kwenye urais wa 2015 wangejikita zaidi kuhakikisha kunakuwa na katiba mpya kabla ya uchaguzi ujao ili walau wawe na nafasi japo finyu ya kukishinda chama tawala. Vinginevyo hata ungewasimamisha hao wote uliowataja upande mmoja (kwa tiketi ya chadema) na mgombea wa CCM upande mwingine yumkini watashindwa tu kwani ATAKAYETANGAZWA kuwa mshindi kwa mujibu wa katiba hii na tume iliyopo ATAKUWA ni MGOMBEA WA CCM. Huu ndio ukweli wenyewe japo najua kuna watu huwa hawapendi kuusikia.
 
ila kwa wanaotajwa tajwa ccm kuwajadili ruksa sio?kwanini chadema unapenda iwe exceptional case labda?zipo sababu zozote za msingi unazo za kufanya hivyo labda?zitaje.

Nafikiri una matatizo ya kuelewa wewe Kim,lini umesikia kua CDM wameanza hizo campaign? Si nyie ndio mmeanza hizo campaign kupitia Membe,Sitta na Manywele? Unapotaka kuanza kujadili haya mambo ni wazi kua unataka vurugu zilizopo kwenu Magambani unataka kuzileta huku hauoni gogoro linalofukuta la hao watu watatu? Kwann kila cku Manywele anaomba mialiko mahala pengi ili aonekane? Sitta nae hauoni au? Hizo ni tabia za nyie Magamba kwa hyo endeleeni na huo utaratibu wenu
 
Mkuu KIM KARDASH;

Heshima kwako kwanza;

Wewe unacheza na propaganda za kujaribu kuleta mijadala ambayo haipo CDM,Lengo unataka kutuaminisha kwamba sisi attention yetu ni kwenye Uraisi kwa sasa.Tumeshakuelewa.Nimekujibu kwa hoja kwamba kama unapenda kuendelea kujadili endelea,kwa sababu kuna freedom of Speech.LAKINI hiyo sio PRIORITY yetu kwa sasa CHADEMA.Ukaishia na ati " Udikteta Mbuzi".Sijatoa maoni ya kukuzuia kujadili,Go on lakini elewa nilichosema,na je katika nilichosema kuna lolote ambalo unaona sio msimamo wetu CDM?

Swala la Authority ya kusema haya usihangaike sana kwa sababu hata wewe sikujui.Lakini huu ndio msimamo wetu.Ninyi hamuwezi kututeteresha.Again endeleeni kujadili Expected Candadates wetu according to Ninyi.

Asante Mh.KIM

Huna haja ya kutoa statement kama unaona hizi ni hadithi unasoma na kukaa kimya tu,nilichoku challenge ni kujaribu kuzima hoja kwa niaba watu wote wa chadema humu ndani wakati sisi tunavyoelewa Dr.slaa ni member mwenzetu na ni mtu mkubwa kuliko wewe huko cdm unless wewe uwe ni mbowe hajawahi kuja na mikwara mizito kama wewe na kwa nini ujubanze kwenye ID unaogopa nini?basi wewe ni chadema kata ,maana cdm head office tunaowajua huwa hawajifichi,si unawaona kina mnyika,zitto,marehemu REGIA na slaa wanaingia na kutoka na majina yao..
 
Nafikiri una matatizo ya kuelewa wewe Kim,lini umesikia kua CDM wameanza hizo campaign? Si nyie ndio mmeanza hizo campaign kupitia Membe,Sitta na Manywele? Unapotaka kuanza kujadili haya mambo ni wazi kua unataka vurugu zilizopo kwenu Magambani unataka kuzileta huku hauoni gogoro linalofukuta la hao watu watatu? Kwann kila cku Manywele anaomba mialiko mahala pengi ili aonekane? Sitta nae hauoni au? Hizo ni tabia za nyie Magamba kwa hyo endeleeni na huo utaratibu wenu
Mtu mzima kusema urongo haipendezi,naomba niwekee nukuu yeyote kutoka kwa uliowataja wakitangaza kwamba watagombea urais na uvue hiyo miwani utueleze uliwasikia wapi na lini?mbona mnakuwa na mapenzi ya kitoto mkipenda jambo mnakua kama walokole hamuoni wala hamsikii kuhusu chadema ila ya ccm kwa jinsi tunavyoyajadili humu kila siku mpaka unahisi labda uliwahi kumsikia lowasa akiomba kura za 2015!hakuna aliyetangaza rasmi ila hawa watu ni kwamba wameonyesha nia kwa kusikika wakiropoka kwa watu wao wa karibu na wapambe wao wamekua wakipita pita kupiga ndogo ndogo,mnataka kuficha kitu gani kwani mbona jitihada zimekuwa kubwa sasa?kama lipo lipo tu hito si ndio demokrasia bwana lazima jamaa awe tested sio kufikiri atapishwa tu bila changamoto,ajiandae tu!mwenyekiti nae nasikia yumo anataka kujaribu bahati yake kwa mara nyingine!yale yale ya usultan kwenye vyama vya upinzani,mwenyekiti na katibu tu ndio wanafaa kuwa wagombea wa kudumu,poor chadema!
 
Huyo pia mimi nilimfikiria lakini nilipo jaribu kudurusu kiwango chake cha elimu nilisikitika sana.....labda kama atajiendeleza hata open university maana umri unamruhusu!

Bill Gates & Microsoft

In 1975, before graduation Gates left Harvard to form Microsoft with his childhood friend Paul Allen. The pair planned to develop software for the newly emerging personal computer market. Bill Gate's company Microsoft became famous for their computer operating systems and killer business deals. For example, Bill Gates talked IBM into letting Microsoft retain the licensing rights to MS-DOS an operating system, that IBM needed for their new personal computer. Gates proceeded to make a fortune from the licensing of MS-DOS.
On November 10, 1983, at the Plaza Hotel in New York City, Microsoft Corporation formally announced Microsoft Windows, a next-generation operating system.
On January 1, 1994, Bill Gates married Melinda French Gates. They have three children.
 
Kumekuwa na fikra ama dhana potofu miongoni mwa vyama mbadala tanzania kwamba wagombea urais kupitia vyama hivyo ni lazima wawe wenyeviti ama makatibu wakuu wa vyama hivyo,huu sasa unaonekana kama ni utamaduni uliozoeleka kwenye vyama vya upinzani,kwa kuwa chadema ni chama za kidemokrasia zaidi naona kingejaribu kuonyesha njia kwa kujitofautisha na vyama vya kisultani(tunavijua)kwa kuanzi chadema kwenye uchaguzi ujao kimteue mgombea wake kutoka nje ya utaratibu huo unaobaka demokrasia hapa nchini.

Wapo watu wenye uwezo ndani ya chadema ambao wakisimamishwa wanaweza kutoa changamoto ya kutosha kabisa hasa ikizingatiwa chadema kama vyama vingine vimesharibu kuwasimamisha mwenyekiti aliyeko madarakani pamoja na katibu wake bila mafanikio,mfano wa watu mahiri ndani ya chadema ambao wanao uwezo mkubwa wa kuipeperusha bendera ya chama ni hawa wafuatao,hebu tujaribu kuwachambua na kupima kuona yupi ni bora zaidi hapa
9.jpg


Mh.Tundu Lissu

269398_218120438224649_116393691730658_547970_3290987_n.jpg


Mh.Zitto Kabwe



safari_236.jpg


Prof.Safari




157427_100001425908463_4956608_n.jpg


Mh.Halima Mdee

Baada ya kushindwa vibaya kwa hoja yako ya Dr. Slaa kugombea arumeru leo umeamkia huku?

Huu muda unaopoteza kutengeneza majungu ungeutumia kukishauri chama lako la magamba namna ya kujinasua na makundi ungeonekana wa maana sana, hata mimi ningeku support.

Tumia akili yako na muda wako vizuri kwa kuishauri chama la magamba kuweka sera zinazowasaidia wananchi kujiinua kiuchumi na kielimu. Sasa hivi inflation haikamatiki, umeme imekuwa anasa, huduma za afya mmezihamishia india na walimu wamemaliza vyuo wanazurura mitaani wakati shule wanafunzi hawana walimu.

Kuzungumzia uraisi miaka mitatu kabla ya uchaguzi ni utamaduni wa magamba, usitake kutushausri upuuzi kama huu wa kujenga personalities badala ya kujenga vyama na serikali imara.
 
Bill Gates & Microsoft

In 1975, before graduation Gates left Harvard to form Microsoft with his childhood friend Paul Allen. The pair planned to develop software for the newly emerging personal computer market. Bill Gate's company Microsoft became famous for their computer operating systems and killer business deals. For example, Bill Gates talked IBM into letting Microsoft retain the licensing rights to MS-DOS an operating system, that IBM needed for their new personal computer. Gates proceeded to make a fortune from the licensing of MS-DOS.
On November 10, 1983, at the Plaza Hotel in New York City, Microsoft Corporation formally announced Microsoft Windows, a next-generation operating system.
On January 1, 1994, Bill Gates married Melinda French Gates. They have three children.

umeenda mbali sana,ungetoa mfano wa bakhresa tu ningeelewa kuliko kupoteza ku copy na ku paste kwenye internet!lakini elimu bado muhimu.
 
Baada ya kushindwa vibaya kwa hoja yako ya Dr. Slaa kugombea arumeru leo umeamkia huku?

Huu muda unaopoteza kutengeneza majungu ungeutumia kukishauri chama lako la magamba namna ya kujinasua na makundi ungeonekana wa maana sana, hata mimi ningeku support.

Tumia akili yako na muda wako vizuri kwa kuishauri chama la magamba kuweka sera zinazowasaidia wananchi kujiinua kiuchumi na kielimu. Sasa hivi inflation haikamatiki, umeme imekuwa anasa, huduma za afya mmezihamishia india na walimu wamemaliza vyuo wanazurura mitaani wakati shule wanafunzi hawana walimu.

Kuzungumzia uraisi miaka mitatu kabla ya uchaguzi ni utamaduni wa magamba, usitake kutushausri upuuzi kama huu wa kujenga personalities badala ya kujenga vyama na serikali imara.

ubunge wa arumeru kwa mzee wangu slaa palepale labda apewe special seats kufuatia muafaka wa juzi usiku pale ikulu!siku ile uliyolala mapema kwa ghazabu baada ya kuona picha za slaa akiwa ikulu.
2015 VOTE FOR

157427_100001425908463_4956608_n.jpg

NI ZAMU YA MWANAMKE SASA!
 
upotoshaji jazz band....!mwambieni arudi shule nyie acheni kumdanganya na habari za bill gates sijui steve jobs wizi mtupu,umri bado unamruhusu kijana,ana haraka gani?
Nadhani ni vyema ukamuelekeza chuo cha kusomea Urais ili akajiunge na hayo masomo ya kusomea Urais.
 
Muda wa kujadili hii hoja haujafika, labda kama umetuwa na magamba, kama wewe ni mwanachadema fikiria namna ya kupeleka elimu ya uraia vijijini ambako wanadanganywa kuwa vyama vya upinzani ni kuleta vita. watu wakishaelewa sasa tujadili nani wa kusimama kuwa mgombea hapo mwaka 2015.
 
zitto kabwe anafaa.moja ya vitu mhimu alivyonavyo kijana huyu ni kwamba anaijua siasa siobkama baadhi ya watu fulani wanaochukulia siasa kama ni uhasama.zitto ameweza kusimama imara pamoja na changamoto wanazompa watu ikiwemo jf.akitoa hoja inakuwa na mshiko kweli kweli na kwa maana hyo yuko Objective maana watu tunasema yuko upande wa jk lakn mbona anaiumbua serikali ya jk kwa maswala nyeti.

kitu kingine mhimu kwa zk ni kwamba yuko fit.kichwa kinafanya kaz ndo mana amekuwa sio mtu wa kukosoa tu anatoa njia mbadala mfano ni issue ya ajira anavoichambua na kupendekeza maswala kadhaa.jna akiwa channel ten amethibitisha hlo kwa mambo aliyojipanga nayo kwa bunge lijalo

zitto anavitu vingi sana vya kutufundisha sisi vijana wa ktz hasa kwenye swala la kusoma na kuelewa.

kwa leo inatosha.
 
zitto kabwe anafaa.moja ya vitu mhimu alivyonavyo kijana huyu ni kwamba anaijua siasa siobkama baadhi ya watu fulani wanaochukulia siasa kama ni uhasama.zitto ameweza kusimama imara pamoja na changamoto wanazompa watu ikiwemo jf.akitoa hoja inakuwa na mshiko kweli kweli na kwa maana hyo yuko Objective maana watu tunasema yuko upande wa jk lakn mbona anaiumbua serikali ya jk kwa maswala nyeti.

kitu kingine mhimu kwa zk ni kwamba yuko fit.kichwa kinafanya kaz ndo mana amekuwa sio mtu wa kukosoa tu anatoa njia mbadala mfano ni issue ya ajira anavoichambua na kupendekeza maswala kadhaa.jna akiwa channel ten amethibitisha hlo kwa mambo aliyojipanga nayo kwa bunge lijalo

zitto anavitu vingi sana vya kutufundisha sisi vijana wa ktz hasa kwenye swala la kusoma na kuelewa.

kwa leo inatosha.

Tatizo ile dini yake na sisi haviendani..hiki chama chetu bwana sio chao,hayo mambo yake akafanyie kwa waswahili wenzake kule cuf hapana hapa.
 
Katibu na raisi wetu Dr Slaa alikwisha sema,CHADEMA sio chama cha uraisi,na akasema kwasasa ni muda wa kujipanga kutatua kero za wananchi....nadhani tuache hizi mada majitaka ambazo hazina mashiko kwa sasa hasa kwa chama makini kama CDM...tujadili kuimarisha chama hasa vijijini na sehemu ambazo bado hatuna mizizi ya kutosha...uraisi ni rahisi kama chama kikiwa na mizizi ya kutosha Tanzania nzima...na hata nikisimama mimi naweza shinda maana chama kimekuwa na uimara kila sehemu.
 
zitto kabwe anafaa.moja ya vitu mhimu alivyonavyo kijana huyu ni kwamba anaijua siasa siobkama baadhi ya watu fulani wanaochukulia siasa kama ni uhasama.zitto ameweza kusimama imara pamoja na changamoto wanazompa watu ikiwemo jf.akitoa hoja inakuwa na mshiko kweli kweli na kwa maana hyo yuko Objective maana watu tunasema yuko upande wa jk lakn mbona anaiumbua serikali ya jk kwa maswala nyeti.

kitu kingine mhimu kwa zk ni kwamba yuko fit.kichwa kinafanya kaz ndo mana amekuwa sio mtu wa kukosoa tu anatoa njia mbadala mfano ni issue ya ajira anavoichambua na kupendekeza maswala kadhaa.jna akiwa channel ten amethibitisha hlo kwa mambo aliyojipanga nayo kwa bunge lijalo

zitto anavitu vingi sana vya kutufundisha sisi vijana wa ktz hasa kwenye swala la kusoma na kuelewa.

kwa leo inatosha.
Ungetoa mfano mmoja na si kutupa 'sweeping statements' Zitto kafanya nini ambacho wewe unaweza sema if implemented tutasogea mbele apart from embezzlement za serikali. Hilo an average accountant, economist can point out hata mie naweza piga kelele hizo hizo given the stage and the audience; matter of fact anybody can.

Embu tuanze kuangalia viongozi ambao wanatoa sounding arguments in terms of policies na jinsi ya kumsaidia mtanzania ki kweli kweli na si majina tu kisa watu mahodari wa kukashifu ubadhirifu.

There is the technical side of political development embu jaribu kusoma post za 'mchambuzi' akiwa ana make is attempts to sell his philosophy, halafu tafuta ideology ya Zitto kitaifa au hao waliotajwa kama kuna hata mmoja ana mawazo ya kitaifa sijui kwa nini tunapenda kupigia debe vitu ambavyo atujavifanyia utafiti.
 
Tatizo ile dini yake na sisi haviendani..hiki chama chetu bwana sio chao,hayo mambo yake akafanyie kwa waswahili wenzake kule cuf hapana hapa.

Mkuu hii ni dhana yako binafsi na potofu....CDM si chama cha wakristo wala waislamu..ni chama cha watu wa aina zote na rangi zote...dhana yako hii itaturudisha nyuma na nadhani unataka kutia doa harakati za ukombozi.
 
Umeingia choo kisicho sahihi ka jinsia yako;waambie walio kutuma wakupange vizuri;sawasawa???
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom