Hawa waliomaliza muda kazin ndio waliotufikisha hapa!

Ndevu mbili

JF-Expert Member
Jan 11, 2011
379
40
Salaam JF.
Hili likoje members...
Nmepita ofisi nyingi za kudai haki nmewakuta watu wazima ambao walikua watumishi katika sectors mbali mbali....nkijiuliza walipo kua wakiwajibika ndio waliokua wakitetea maslahi yao...mpaka sasa tunalaumu nchi ya Tz haijali watu wake ni ajili ya hawa watumishi walio maliza muda wao.
Je wakiwa wanalaumu wakti wanadai haki zao ni sawa waharakishiwe au wacheleweshewe?
Nin mawazo yako?
 
bado una nafasi ya kuchange direction ili baadae tusilaumiane.

Play ur part, change beggins with u
 
Jitenge nezee mafao yako .... yasije kkukuta ya wazee wa africa mashariki:bolt:
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom