Ndevu mbili
JF-Expert Member
- Jan 11, 2011
- 379
- 40
Salaam JF.
Hili likoje members...
Nmepita ofisi nyingi za kudai haki nmewakuta watu wazima ambao walikua watumishi katika sectors mbali mbali....nkijiuliza walipo kua wakiwajibika ndio waliokua wakitetea maslahi yao...mpaka sasa tunalaumu nchi ya Tz haijali watu wake ni ajili ya hawa watumishi walio maliza muda wao.
Je wakiwa wanalaumu wakti wanadai haki zao ni sawa waharakishiwe au wacheleweshewe?
Nin mawazo yako?
Hili likoje members...
Nmepita ofisi nyingi za kudai haki nmewakuta watu wazima ambao walikua watumishi katika sectors mbali mbali....nkijiuliza walipo kua wakiwajibika ndio waliokua wakitetea maslahi yao...mpaka sasa tunalaumu nchi ya Tz haijali watu wake ni ajili ya hawa watumishi walio maliza muda wao.
Je wakiwa wanalaumu wakti wanadai haki zao ni sawa waharakishiwe au wacheleweshewe?
Nin mawazo yako?