Yona F. Maro
R I P
- Nov 2, 2006
- 4,202
- 218
Wiki iliyopita nilialikwa katika mkutano mmoja wa bidhaa , kampuni moja kutoka India ilikuwa inatafuta watu wa kuweza kutangaza na kuuza bidhaa zao za aina mbali mbali kama vifaa vya mawasiliano na zingine za mambo ya afya afya .
Ila bidhaa zote hizi unatakiwa kwanza uwe na anuani mtandano unapata anuani hiyo baada ya kununua kifaa kimoja au bidhaa ambazo bei yake ni kuanzia dola 500 inategemea na bidhaa yenyewe mambo kama hayo
Hawa watu wana wawakilishi wao hapa Tanzania ambao ni wafanyakazi sehemu mbali mbali katika mikutano hii nao huwa wanakuja lakini kwa majina tofauti hawataki watambulike .
Niliuliza swali hizo biashara wanazofanya zinatambulika vipi na serikali pamoja na ummah wa watanzania ? je serikali ina tambua kuhusu ujuo wao hapa nchini na biashara wanazotaka kufanya ? wakakimbilia kuvunja mkutano tukapewa magazeti ya biashara zao na namba za mikono ya wawakilishi wao hapa Tanzania .
Hiyo haikunishitua sana wakati natoka nikapiga simu kwa mmoja wa wawakilishi kuuliza mfano nikinunua bidhaa zao si nimefanya biashara ? kodi nalipaje ? pia ninatambulikaje ? natoa risiti za aina gani kwa mteja wangu ?
Na hivyo vifaa vya mawasiliano je tume ya mawasiliano inajua chochote kuhusu suala hili ? sasa hata wawakilishi wenyewe sio watu wa mawasiliano lakini wanauza vifaa hivi kama simu na bidhaa zingine za afya za binadamu na wenyewe hawana utaalamu wowote wa utabibu wala nini
Wahusika waangalie maswala haya kwa umakini sana , nawaomba vijana au mtu wowote yule kama amealikwa katika mkutano wowote ule usioeleweka katika mahoteli na sehemu zingine basi atoe taarifa katika majukwaa ya mtandao ili watu hawa waweze kufuatiliwa na kudhibitiwa
Utakuwa umeokoa watanzania wenzako ambao wangeweza kuingizwa mkenge au watanzania wenzako ambao wangeweza kununua bidhaa hizo za afya na kupata matatizo zaidi na serikali pia ambayo inakosa mapato yake stahili
Ila bidhaa zote hizi unatakiwa kwanza uwe na anuani mtandano unapata anuani hiyo baada ya kununua kifaa kimoja au bidhaa ambazo bei yake ni kuanzia dola 500 inategemea na bidhaa yenyewe mambo kama hayo
Hawa watu wana wawakilishi wao hapa Tanzania ambao ni wafanyakazi sehemu mbali mbali katika mikutano hii nao huwa wanakuja lakini kwa majina tofauti hawataki watambulike .
Niliuliza swali hizo biashara wanazofanya zinatambulika vipi na serikali pamoja na ummah wa watanzania ? je serikali ina tambua kuhusu ujuo wao hapa nchini na biashara wanazotaka kufanya ? wakakimbilia kuvunja mkutano tukapewa magazeti ya biashara zao na namba za mikono ya wawakilishi wao hapa Tanzania .
Hiyo haikunishitua sana wakati natoka nikapiga simu kwa mmoja wa wawakilishi kuuliza mfano nikinunua bidhaa zao si nimefanya biashara ? kodi nalipaje ? pia ninatambulikaje ? natoa risiti za aina gani kwa mteja wangu ?
Na hivyo vifaa vya mawasiliano je tume ya mawasiliano inajua chochote kuhusu suala hili ? sasa hata wawakilishi wenyewe sio watu wa mawasiliano lakini wanauza vifaa hivi kama simu na bidhaa zingine za afya za binadamu na wenyewe hawana utaalamu wowote wa utabibu wala nini
Wahusika waangalie maswala haya kwa umakini sana , nawaomba vijana au mtu wowote yule kama amealikwa katika mkutano wowote ule usioeleweka katika mahoteli na sehemu zingine basi atoe taarifa katika majukwaa ya mtandao ili watu hawa waweze kufuatiliwa na kudhibitiwa
Utakuwa umeokoa watanzania wenzako ambao wangeweza kuingizwa mkenge au watanzania wenzako ambao wangeweza kununua bidhaa hizo za afya na kupata matatizo zaidi na serikali pia ambayo inakosa mapato yake stahili